Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa sasa yupo Agent bavo sema quality yake naona bado kidogo ila kwa mapigo anaishi level za damme
Ngoja nitajaribu kumuangalia .
Nina miaka zaidi ya 10 tangu niachane na movie za kibongo .
Watu wanajua kuigiza mapenzi tu,,,tena nayo stori unajua kabisa Inaelekea huku.

Hizo za kupigana ndio kabisa
,
Ngoja nimcheck huyo jamaa ,,
Ila bro acha kumlinganisha Damme na watu wa ajabu...hivi yale mateke yake umeyaona vizuri kweli anavyoyatandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…