Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,637
Mtafute agent bavo kisha utaniambia mtafte insta hata youtube tu uone kichapo anachotembezaNgoja nitajaribu kumuangalia .
Nina miaka zaidi ya 10 tangu niachane na movie za kibongo .
Watu wanajua kuigiza mapenzi tu,,,tena nayo stori unajua kabisa Inaelekea huku.
Hizo za kupigana ndio kabisa,
Ngoja nimcheck huyo jamaa ,,
Ila bro acha kumlinganisha Damme na watu wa ajabu...hivi yale mateke yake umeyaona vizuri kweli anavyoyatandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
,

