Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nitajaribu kumuangalia .
Nina miaka zaidi ya 10 tangu niachane na movie za kibongo .
Watu wanajua kuigiza mapenzi tu,,,tena nayo stori unajua kabisa Inaelekea huku.

Hizo za kupigana ndio kabisa,
Ngoja nimcheck huyo jamaa ,,
Ila bro acha kumlinganisha Damme na watu wa ajabu...hivi yale mateke yake umeyaona vizuri kweli anavyoyatandika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute agent bavo kisha utaniambia mtafte insta hata youtube tu uone kichapo anachotembeza
 
IMG-20210712-WA0000.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee we utakuja kuniambia, mwamba anatembeza round kick kama kazaliwa uchina
A wapi

Hebu angalia hata adui zake.

Hebu katika kumuweka hizo levo,angalia na nguvu za adui zake.

Isije ikawa huyo Bavo adui yake anayemnyuka hana nguvu kama mimi halafu unasema anatembeza kipigo.

Damme amepigana na lile jitu licyborg..linapiga balaa.
Akina Arnold wanapigana na watu wanaopiga balaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom