Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen
Ni kweli amelala,ataamka..nitamuona tena japo natamani iwe haraka tu.


Mwee mtumishi hivi unajua ngojangoja yaumiza matumbo?!?!
Mwishowe nikufe kabla sijakuona..
Naomba ufanye kubariki roho yangu na kaselfie.
Utamuona, lakini mpaka muda wa Mungu ufike, ambao ndo muda sahihi zaidi.

Just stay strong and positive.

Mtumishi mwenzangu huwezi kukufa kabla mimi pia sijakuona. Mungu hataruhusu hilo.

I can bet my father's house kwenye hili
 
Utamuona, lakini mpaka muda wa Mungu ufike, ambao ndo muda sahihi zaidi.

Just stay strong and positive.

Mtumishi mwenzangu huwezi kukufa kabla mimi pia sijakuona. Mungu hataruhusu hilo.

I can bet my father's house kwenye hili
Dah, Yaani ingekuwa inawezekana ningemshawishi tu Mungu afinalize mambo yaishe.

Amen
Namuamini sana Mungu,ila wacha niugulie haya maumivu hadi yatakapopoa.



Mtumishi si unajua kama kifo huja kama mwivi??
What if nikachomoka hapa,sijaona picha,,,nyumba unayoweka rehani sitaifaidi.

Hebu fanya kuhurumia tumbo langu Mtumishi,limengoja mno.
Pls baba Mtumishi
 
Back
Top Bottom