Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu na miguu yenu.
Kwa jinsi nilivyo sasahivi,,huu mguu ni sawa na paja langu.
Unajua nini mtakatifu...najua inauma mno mno na machungu ya kumpoteza mzazi hasa ikiwa kama ulikuwa ukimtegemea.

Jikaze!muombe Mungu amani ya moyoni..najua katika hali ya kibinadamu ni ngumu.muombe Mungu atakusaidia.usilalamike wala kunung’unika muombee pumziko la milele..kifo hakizoeleki.. muda sahihi utafika utajikuta hata huu muda unaowaza mwisho wa dunia ufike Yesu aje kukunyakua hautakuwepo.

Mshukuru Mungu kwa kila kitu.
Mwanga wa milele umwangazie baba yetu aendelee kupumzika kwa amani.
 
Wenge nililonalo linataka kuniua
Dunia imekuwaje sijui,hadi natamani hata iishie leo Yesu arudi tu.
Naelewa.sasa fanya yafuatayo
Fanya kama ulivokuwa wafanya week chache ukimaliza 40 jitahidi upate tour hasa sehem za wanyama na bahari .
Sahau/usicheki picha za baba kwa sasa.
Usikumbuke sauti yake kwa sasa kwanza.
Jitahidi Sana kufanya mazoezi walau weekend jiunge na wale jogging.
 
Unajua nini mtakatifu...najua inauma mno mno na machungu ya kumpoteza mzazi hasa ikiwa kama ulikuwa ukimtegemea.

Jikaze!muombe Mungu amani ya moyoni..najua katika hali ya kibinadamu ni ngumu.muombe Mungu atakusaidia.usilalamike wala kunung’unika muombee pumziko la milele..kifo hakizoeleki.. muda sahihi utafika utajikuta hata huu muda unaowaza mwisho wa dunia ufike Yesu aje kukunyakua hautakuwepo.

Mshukuru Mungu kwa kila kitu.
Mwanga wa milele umwangazie baba yetu aendelee kupumzika kwa amani.
Amen akhsante dada yangu
 
Naelewa.sasa fanya yafuatayo
Fanya kama ulivokuwa wafanya week chache ukimaliza 40 jitahidi upate tour hasa sehem za wanyama na bahari .
Sahau/usicheki picha za baba kwa sasa.
Usikumbuke sauti yake kwa sasa kwanza.
Jitahidi Sana kufanya mazoezi walau weekend jiunge na wale jogging.
Yaani ninavyoongea hapa,nyumbani nilishaondoka kitambo.
Pale pangeniua kwa mawazo na imagination zangu,namuona kama yulee amekaa.

Nimejitahidi sana kusafiri kuanzia ile wiki ya kwanza tu lakini wapi.

Ile sauti usiku inajirudia kichwani, najitahidi sana kuitoa lakini wapi..
Nimegundua mbinu mpya,naangalia movie za kibabe babe .
 
Screenshot (35).png
 
"/ I did things for her; I ain't rich I ain't poor,
I wanted to do more, but hell I just ain't know her / Well enough to know if this is all she came for, but enough to know tonight excited she came four.../ ...Times...to my cousin house to see if I was there /"

3 Stacks was nice with it 🙌🏾

20210711_181144.jpg
 
Back
Top Bottom