Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo ni mamisosi tuView attachment 1849805
20210711_182539.jpg
 
Amen akhsante
Ni vile tu moyo unauma sana.


Halafu nasubiri selfie yako mtumishi mwenzangu.
I completely understand you.

Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mmoja wa wapendwa wetu.

Lakini maadam tunajua amelala tu na siku moja tutamuona tena, basi tujitahidi kuendelea mbele.

Mwisho wa siku kusudi la Mungu kwenye maisha yetu halitakiwi kusimama.

Selfie utapata nyingi sana mtumishi mwenzangu. Nilishaweka hii promise
 
I completely understand you.

Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mmoja wa wapendwa wetu.

Lakini maadam tunajua amelala tu na siku moja tutamuona tena, basi tujitahidi kuendelea mbele.

Mwisho wa siku kusudi la Mungu kwenye maisha yetu halitakiwi kusimama.

Selfie utapata nyingi sana mtumishi mwenzangu. Nilishaweka hii promise
Amen
Ni kweli amelala,ataamka..nitamuona tena japo natamani iwe haraka tu.


Mwee mtumishi hivi unajua ngojangoja yaumiza matumbo?!?!
Mwishowe nikufe kabla sijakuona..
Naomba ufanye kubariki roho yangu na kaselfie.
 
Back
Top Bottom