Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli sisi ni watu wenye upendo mno.
Nilikuwa nao karibu wote ila nahisi mzee ndio zaidi,,,akiwepo home naenjoy mno(si unajua wakina mama sometimes wanazingua,,hatuivi sana).

Alikuwa mtu wa kuappreciate sana ukifanya vizuri..
Kuna mambo nilijitahidi kufanya kwa bidii ili nimridhishe tu mzee wangu.
Ngoja nisiandike Sana..
.
.
.
.
Oh baba Mtumishi ngoja niendelee kukutazamia labda utawiwa utanitumia kapicha kako
Ngoja nasubiri hiyo surprise,ila amgalia isikawie sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuelewa mtumishi mwenzangu.

Huwa inatokea, watoto wa kike ni marafiki zaidi wa baba...and the vice versa.

The best thing unaweza kufanya kwa sasa, ni kuendelea kuwa motivated zaidi katika kuyafanya hayo aliyoya aspire kwako.

Hiyo ndiyo namna bora ya kuenzi maisha yake ya hapa duniani.

_________________________

Niamini mama mtumishi, ntakuona & utaniona. Ubarikiwe sana
 
S3 Ep 2
Screenshot_20210423-004842~2.png
 
Nakuelewa mtumishi mwenzangu.

Huwa inatokea, watoto wa kike ni marafiki zaidi wa baba...and the vice versa.

The best thing unaweza kufanya kwa sasa, ni kuendelea kuwa motivated zaidi katika kuyafanya hayo aliyoya aspire kwako.

Hiyo ndiyo namna bora ya kuenzi maisha yake ya hapa duniani.

_________________________

Niamini mama mtumishi, ntakuona & utaniona. Ubarikiwe sana
Ah alikuwa akianza kumwaga zile sifaacha kabisa,,unaweza hisi upo ulimwengu mwingine.

Huyu Mungu
Anyway...



Sawa Mtumishi, Nina hakika hautaniangusha
Mungu akutunze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ah alikuwa akianza kumwaga zile sifaacha kabisa,,unaweza hisi upo ulimwengu mwingine.

Huyu Mungu
Anyway...



Sawa Mtumishi, Nina hakika hautaniangusha
Mungu akutunze

Sent using Jamii Forums mobile app

I feel you mtumishi mwenzangu. Pole sana.

Sina wasiwasi wowote kwamba Mungu ana plan nzuri tu ya kukutoa hapo.

Anatuwazia mema, always...si unakumbuka hili? Mema yanakuja.

___________________________

Naaam naam.

Huo ndio ukweli. Hujafanya kosa kuniamini katika hilo.

Amen mama mtumishi. Malaika wa Bwana wakutunze na kukulinda.
 
I feel you mtumishi mwenzangu. Pole sana.

Sina wasiwasi wowote kwamba Mungu ana plan nzuri tu ya kukutoa hapo.

Anatuwazia mema, always...si unakumbuka hili? Mema yanakuja.

___________________________

Naaam naam.

Huo ndio ukweli. Hujafanya kosa kuniamini katika hilo.

Amen mama mtumishi. Malaika wa Bwana wakutunze na kukulinda.
Anatuwazia mema
Na mema yanakuja
.
.
.



Amen , akhsante baba Mtumishi .
Mungu wangu akubariki mno .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom