Nina historia mimi.
Nilimwambia hana hela, pesa ya kulipia atatoa wapi atulie tuu na awe mpole.
.
Kilichofuata akaniambia ananilipia mimi niende. Na bado akanitumia na hela ya uber hiyo Siku nisiteseke.
Alijua kunikomesha mpaka leo nina heshima debe.