Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Kitambo sana
Umeanza lini uvumilivu?
Umeanza lini uvumilivu?
Silali nasubiri picha yako hata video kabisa ikifaaKitambo sana
THE DIMPOZ IS DIMPOZED
HahahahaFuture impossible tense
Italy kachomoa wajinga hao
Elewa caption yangu tafadhaliItaly kachomoa wajinga hao
Ni vant ndiyo imeandikaTHE DIMPOZ IS DIMPOZED
Sijui nimeshalewa tayari?
Hahahaha.Elewa caption yangu tafadhali
Mbona kama nmeelewa kwani unaangalia mpira?Elewa caption yangu tafadhali
Nakuelewa vizuri kabisa mtumishi mwenzangu.Dah, Yaani ingekuwa inawezekana ningemshawishi tu Mungu afinalize mambo yaishe.
Amen
Namuamini sana Mungu,ila wacha niugulie haya maumivu hadi yatakapopoa.
Mtumishi si unajua kama kifo huja kama mwivi??
What if nikachomoka hapa,sijaona picha,,,nyumba unayoweka rehani sitaifaidi.
Hebu fanya kuhurumia tumbo langu Mtumishi,limengoja mno.
Pls baba Mtumishi![]()
Matokeo vipi kwaniMbona kama nmeelewa kwani unaangalia mpira?
Hapa naongea kingereza bar nzimaNi vant ndiyo imeandika
Nilisema England akishinda 7bu najua ni haiwezekani 😂Mbona kama nmeelewa kwani unaangalia mpira?
1-1Matokeo vipi kwani
HahahahaHapa naongea kingereza bar nzima
Mimi naumia sasa italy kurudisha wewe si hutaki uonweNilisema England akishinda 7bu najua ni haiwezekani![]()
Sasa wewe unanizodoa Italy kurudisha wakati me huku nafurahia.
Uone mara ngapi? Ulishaona ya England kuanza kuchungulia nyavuMimi naumia sasa italy kurudisha wewe si hutaki uonwe
Merci .watoe draw tu
Wataenda matutaDuh
Merci .watoe draw tu
HakikaNakuelewa vizuri kabisa mtumishi mwenzangu.
Lakini usiwaze tena hivyo (najua sio rahisi)
Bado kuna mengi unatakiwa kuya accomplish hapa duniani. Mungu alikuleta kwa kusudi.
Huu ndo wakati muafaka kabisa kumuomba akuwezeshe kufikia makusudi yake kwako.
___________________________
Kama nilivyokufahamisha, Mungu hataruhu uenda kabla sijakuona mtumishi mwenzangu.
Likewise, hutatwaliwa kabla hujaniona.
Katika hili nina uhakika sana, Mungu ni mwaminifu sana kwenye ahadi zake.
Stay strong, healthy and prosperous mama mtumishi

,aliyebaki analialia ni mimi tu.