ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,444
- 119,041
Duh mzee pole sana!!!Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Duh mzee pole sana!!!Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Daah pole aisee chief maana sio mchezo.Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Akhsante sana mkuu nimepoaDaah pole aisee chief maana sio mchezo.
Kwemaa polee hope medical umepata msaada.
Sawa mkuu nitayatafuta hayo mafutaKwemaa polee hope medical umepata msaada.
But tafuta haya mafuta ili upone haraka usipuuzeView attachment 1848466
Mkuu pole sana..
Oooosh kweli upo mnadani dakika mbili ndo nimetoka hapo tumechengana ngoja niwahi mgonjwa.Uliyepo msalato tupeane lokeshooView attachment 1848497




Yeah Nipo hapa tena nimekula vumbi plus nyama Choma la maana aiseh maana nimekuja mapema 😁😁😁😁Oooosh kweli upo mnadani dakika mbili ndo nimetoka hapo tumechengana ngoja niwahi mgonjwa.![]()
Unaendaje alone na wewe sasaYeah Nipo hapa tena nimekula vumbi plus nyama Choma la maana aiseh maana nimekuja mapema![]()


Hiyo Picha ya pili hapo ni manyoni Singida



Haya tafuta pesa sasa kipindi kingine tupige nyamaUnaendaje alone na wewe sasa
Jmos ijayo ntakushitua .utapigaje vyombo pekeako sema hapo huwezi kosa kampani wadosi/bakabaka kibao.ungepost muda ngekufata tujoin umeharibuuu.
Ngoja niwahi pesa kwanza ili next tuzile vizuri.![]()
Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Kwema sana mkuu..Mungu ni mwema!Akhsante sana mkuu
Kwema lakini
HahahahaAcha maneno mtumie mgonjwa fweza
Kwema, unatype vipi na mkono huo mzee?Akhsante sana mkuu nimepoa
Kwema lakini mkuu
Pole sana mkuuHabarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
Amina mpendwa wangu Heaven SentDaah mkuu pole sana na hongera pia kwa kutoka salama kwenye ajali hiyo. Mkono wa Bwana na ukuguse, upokee uponyaji na ukawe mzima tena. It is well.
(Usisahau kwenda kutoa na sadaka ya shukrani mdogo angu; ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii)