Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.
My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY
mna amini mtu akipost kwa mfano boat basi atakuwa yuko visiwani au akipost bus basi atakuwa anasafiri
hatari sheikh



wee kipenshii una nini lakini? Nimecheka mbavu sina daaah.Akhsante sana mpendwa Simaraohoo Maskini Mungu amponye haraks
Ooooh ma JAH hadi nimeingiwa na hofu na mashaka makubwa.Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213






AminaOoooh ma JAH hadi nimeingiwa na hofu na mashaka makubwa.
Poleeh sana Mr, JAH aendelee kukupigania na kusaidia uponyaji kwako, uwe km mwanzo.
Poleeeeh sana![]()
Ameeeeen.
Akhsante sana mkuuAmeeeeen.
Ugua poleeeh Mr, naamini utakua sawa km zamani.
Maombi yangu/yetu yapo juu yako na tupo nawe ktk kipindi hiki kigumu kwako. Poleeeh sana.
Ameeen.Akhsante sana mkuu
Pole Sana mkuu kikubwa uhai ..mungu akuponye majeraha harakaHabarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
AminaPole Sana mkuu kikubwa uhai ..mungu akuponye majeraha haraka
Umenikumbusha mbali!Habarini za asubuhi wapendwa
Akhsanteni sana kwa pole na maombi yenu wapendwa
Nashukuru MUNGU naendelea vizuri
View attachment 1848213
