Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,960
- 136,790
Oooooh hapo sasa safi.Ni ngorongoro crater (ukishaingia kwa chini)
Nyie si ndio zenu hizi, mpare mwenzio huyo.Blazamen fulani hivi![]()




Ni maisha tu kipenzi changu yanafanya tupotee kwa hewapoa kabisa unajificha sana kipenzi changu .
Dah... Mfikishie pole zetu nyingi sana..Wapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.
My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY
Tumbo mkuu ila nimetoka saivi nko geto nakula ugaliDah pole mkuu nini mbaya?
Mungu amponye majeraha harakaWapendwa.... Kwa taarifa zilizonifikia siku ya leo ni kwamba mwana selfika mwezetu ndugu T 1990 ELY alipata ajali jana jioni, hajavunjika ila amepata majeraha mengi tu.
Tumuombee mwenzetu Mungu wa mbinguni amponye haraka.
My prayers on you. Get well ASAP T 1990 ELY



Kwa wale wasiokuwa na cheti cha kuzaliwa pale sabasaba jengo la Rita nenda na barua ya serikali ya mtaa au kitamburisho cha mpiga kura na elfu 10000 unapata cheti chako hapo hapo waambie na watu wengineni ofa



Again pole sanaTumbo mkuu ila nimetoka saivi nko geto nakula ugaliView attachment 1843307
Looks like 🤣