Selfika na JF: Snap it. Show it

ukweli kabisaa hapa.
 
Ooh pole kwake na kwa familia yote.
Mungu awe nae na kuwepo mkakati wa namna ya kumsaidia mwenzetu.
Lakin madame vizuri upost kama uzi wa kipekee ili iwe wepesi watu kujua
Daah pole nyingi sana kwa familia yao Mungu akawafariji na akawatie nguvu katika kipindi hiki kigumu! Baba apumzike kwa amani Amen!
So sad. Mungu amlaze Baba mahali pema peponi.Mungu amtie nguvu yeye na familia yake katika kipindi hiki kigumu.
Mwendo ameumaliza Imani ameitunza apumzike kwa amani BABA. AMEN
Pole zangu kwa dada Anne na familia yake yote. Mungu awape nguvu za kuuvuka wakati huu mgumu. Alale pahali pema peponi Baba Anne.
Amen
Akhsante

Mzidi kuniombea,ni wakati mgumu sana kuwahi kupitia maishani.

Mungu awabariki.
 
Tuko pamoja naye katika kipindi hiki kigumu

Sent using Jamii Forums mobile app
maskini duuh pole sana kwake Mungu aitie nguvu familia kwa kipindi hiki kigumu kwao
aisee pole sana kwake....Mungu amlaze baba mahali pema peponi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Aisee, pole yake na kwa familia yake yote, Mungu amtie nguvu katika kipindi hiki kigumu..hakika sisi sote njia yetu moja.
Pole sana Anne jamani Mungu amtie nguvu sana yeye pamoja na familia yake

Mama mchungaji tulio mbali basi tutumiwe no hata tumfariji kwa pole
Mungu awatie nguvu na akawe faraja kwao.. Pole sana mpendwa Saint Anne
Pole sana mchumba Saint Anne kwa matatizo. Mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu. I am praying for u babe
Mungu amtie nguvu katika kipindi iki kigumu ...
Kuishi ni faida, kufa ni kristo


Mungu ailaze roho ya marehemu mahala panapostahili
Amen

Asanteni


Mungu awabariki.

Mzidi kuniombea
.
 
Mkuu huku tukiendelea kumuombea st Anne,nguvu ya kuvuka salama katika kipindi hiki kigumu,hii imenikosha sana.
Naomba niiweke kidogo kwenye lugha yetu mama.

Huyu ndugu mweusi anaitwa Abel Mutai, ni mwanariadha wa nchi ya Kenya. Wa nyuma yake (huyo mzungu) anaitwa Ivan Fernandez, ni mwanariadha wa Hispania.

Mwaka 2013 kwenye mbio za Burlada, Ivan Fernandez alifanya kitendo cha kibinadamu, kimaadili na cha heshima kubwa sana. Hakushinda mbio mahala ambapo kwa tamaa zetu za kibinadamu angeweza kushinda.

Ni kwamba, walipokaribia โ€˜finish lineโ€™, Mutai, ambaye alikuwa anaongoza mbio hizo, alikosea sign ya โ€˜finish lineโ€™ akatoka mchezoni kwenye race na kuanza kushangilia kuwa ameshinda, kitendo ambacho kingempa Ivan fursa ya kuwahi kwenye finish line na kuchukua medali ya dhahabu na kumfanya Mutai ajute, alie na kusaga meno.

Ivan hakutaka ushindi wa kinyemela, ambao angeupata tu kutokana na makosa ya Mutai.

Alimfuata Mutai kule nje na kumrejesha kwenye โ€˜laneโ€™ huku akimuongelesha kihispaniola kuwa bado hawajafika, japokuwa Mutai alikuwa haelewi lugha hiyo lakini alifuata maelekezo ya Ivan na kufika kituo cha mwisho akachukua ushindi wake. Na Ivan akabaki kwenye nafasi yake โ€˜halaliโ€™ ya ushindi wa pili. Watu hawakumshangilia sana Mutai lakini Walimheshimu sana Ivan.

Sababu ikiwa ni moyo wake wa kibinadamu wa kumsukuma Mutai kwenye mstari wa ushindi mpaka akapata haki yake. Ivan alipohojiwa alisema โ€œndoto yake ni kuona tunajenga jamii ambayo tunasukumana kwenye mstari wa ushindi...โ€.

Mwandishi wa habari akamuuliza, โ€œlakini kwa nini ulimuacha Mkenya akashinda wakati ungeweza kuwa mshindi?โ€, Ivan alijibu โ€œsikumuachia ushindi. Alikuwa ameshinda. Ushindi ulikuwa haki yakeโ€.

Mwandishi akasisitiza, โ€œlakini ungeweza kushinda?โ€. Ivan akajibu: โ€œlakini ningepata raha gani juu ya ushindi huo? Nini ingekuwa heshima ya medali hiyo? Mama yangu angefikiria nini juu ya hilo?โ€

Mungu atujaaliye tupate watoto wema kama Ivan, watakaokuwa tayari kushinda kwa mbinu halali za ushindi, watakaokuwa tayari kusimama kwenye kanuni za maadili, heshima na uaminifu.
 
Jaman jaman life is to short now days
Pole Sana Saint Anne
Mwenyez Mungu akupe nguvu katika
Kipindi kigumu hiki unachopitia
 
(ndoto yake ni kuona tunajenga jamii ambayo tunasukumana kwenye mstari wa ushindi...โ€. )

Aiseeee maneno mazito Sana haya

I wish binadam wote tungekua na roho
Kama ya huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ