financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Mimacho inakutoka😀 utaishia kula kwa macho tu kaonee na usirudi homeMambo matam namna hii sasa 😍😍😍
Mimacho inakutoka😀 utaishia kula kwa macho tu kaonee na usirudi homeMambo matam namna hii sasa 😍😍😍
Mama leo kichwa kinaniuma balaa aisee! Nakuja home nowMimacho inakutoka😀 utaishia kula kwa macho tu kaonee na usirudi home
Baada ya kufumaniwa ndo unajidai waumwa kichwa?😬 rudi nakusubiri baba😏Mama leo kichwa kinaniuma balaa aisee! Nakuja home now
Naumwa kwel mpenzBaada ya kufumaniwa ndo unajidai waumwa kichwa?😬 rudi nakusubiri baba😏
Ndiyo Ndiyo
Hahah!
Bank nilienda yeah. Tiba nimeenda juzi.Hahah!
Umenikumbusha mbali
Umezurura hadi cive..
Ulienda Bank?
Bado Tiba Sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
OhBank nilienda yeah. Tiba nimeenda juzi.

Huu uzi kumbe nao unakuwaga mzuri tu hivi..
Sijui kesho yangu itakuwaje maana viashiria vya mwelekeo wangu si vizuri.
Kabla nusu ya mwaka haijaisha tayari watu wawili tofauti wamenivika vyeo..
Mmoja amenivika cheo cha uchochezi na ufitini, yaani amenitambua mbele ya hadhara kama mchochezi na mfitini. Kosa langu kudai risiti kama ushahidi wa matumizi ya mchango.
Mwingine amenivika cheo cha uspoiler, yaani I am a spoiler. Kosa langu kumkumbusha kuwa hawajibiki kwa mkewe, ila anasema namspoil mke wake. I am doing him a big favour lakn ananiona mbaya.




Sijui kesho yangu itakuwaje maana viashiria vya mwelekeo wangu si vizuri.
Kabla nusu ya mwaka haijaisha tayari watu wawili tofauti wamenivika vyeo..
Mmoja amenivika cheo cha uchochezi na ufitini, yaani amenitambua mbele ya hadhara kama mchochezi na mfitini. Kosa langu kudai risiti kama ushahidi wa matumizi ya mchango.
Mwingine amenivika cheo cha uspoiler, yaani I am a spoiler. Kosa langu kumkumbusha kuwa hawajibiki kwa mkewe, ila anasema namspoil mke wake. I am doing him a big favour lakn ananiona mbaya.






aiseeee 



Kuna Mahali nliskia hii story cjui n wapiMshana Jr Muda mfupi hapa nilikua na piga soga na wadau kuhusu mambo ya nguvu za giza, Mambo ni mengi wameongea hili lilikua la ajabu kweli kweli.
Wachawi huwaga wana safari za kwenda kuzimu, na huko huwa wqnakutana na mkuu wao sheitwan kwa ajiri ya majambo yao na wanapitia baharini.
Unafahamu nini zaidi kuhus hilo ? Nategemea kupata kitu cha tofauti kutoka kwako mkuu






Dhaaaa hiki n kitambi au ndo
Si wachawi wote huenda kuzimu kukurtana na kubwa la maadui kuna wengine hata njia hawaijuiMshana Jr Muda mfupi hapa nilikua na piga soga na wadau kuhusu mambo ya nguvu za giza, Mambo ni mengi wameongea hili lilikua la ajabu kweli kweli.
Wachawi huwaga wana safari za kwenda kuzimu, na huko huwa wqnakutana na mkuu wao sheitwan kwa ajiri ya majambo yao na wanapitia baharini.
Unafahamu nini zaidi kuhus hilo ? Nategemea kupata kitu cha tofauti kutoka kwako mkuu