Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,621
Anapenda uzee huyu wacha yamkute ya uzeeni😂😂😂labda 34 - 10 = 24.
Anapenda uzee huyu wacha yamkute ya uzeeni😂😂😂labda 34 - 10 = 24.
Bei gani hawa mzee baba
Utafika tu huko acha papara katoto kalitoDogo achana na hesabu za kuassume![]()
Leo nina shauku fulani ya kutuma picha.Hatimaye mpendwa umepost![]()
Kama 34 ni uzee basi Mimi nimezeekaAnapenda uzee huyu wacha yamkute ya uzeeni![]()

Wee nahisi nimepatia jibu, oooooooohDogo achana na hesabu za kuassume![]()



Mimi mkubwa jamani.Utafika tu huko acha papara katoto kalito
Hata mie napenda uzee jamani,Anapenda uzee huyu wacha yamkute ya uzeeni![]()



A wapiWee nahisi nimepatia jibu, ooooooooh![]()


Hahahah mwamba Palladino wa kwa Zulu Natal nini 😂😂😂Happy birthday Jack Palladino.Hili penzi lidumu hadi siku moja ile special tule pilau kwa chai kwa hisani kubwa ya mrembo Saint Anne!😄😄😄
View attachment 1777263
Njoo tuzeeke pamoja basiHata mie napenda uzee jamani,![]()
Mambo matam namna hii sasa 😍😍😍Birthday girlView attachment 1777039
Hujai hata kwenye kijikoMimi mkubwa jamani.
Watu mnachat na dada zenu humu.
Huyo mzee wa chura amemshusha Sana babe wangu.Hahahah mwamba Palladino wa kwa Zulu Natal nini![]()
Tatizo mnakadiria miaka kwa kuangalia miiliHujai hata kwenye kijiko
shauri zenu.Wee mie nna 39, bado 6 yrs nifike menopause.Njoo tuzeeke pamoja basi




Hahahah nimeamini hakuna cha kudumu katika hii dunia isipokuwa kifo tu🤣🤣🤣Hivi kina Mbosso,Diamond,Baddest47 kijana wa Mwanjelwa huwa unawasikiliza pia?
Kaone kanavyopenda picha😂😂Ewaaa
Ongeza tena ingine.