Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,227
AiseeSlimmed up [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 1784046
Umekaa kigentleman sana we mwamba[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeSlimmed up [emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 1784046
Christmas ni habari nyingine aiseee..Bado Christmas itakua sikukuu bora duniani hadi mwisho wa dunia, sijui kwa vile inaambatana na mwaka mpya
Unavuruga sikukuu ya Mtume Sallalahu Allaih Wasalam[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nataka nianze kuandaa hii mboga yangu ya Idd[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1784041
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimekusubiri pale idd amin nduli airport nilikufungia tumishkak twa mbwa kwenye four-wheel lakini hukutokea
[emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815]Nataka nianze kuandaa hii mboga yangu ya Idd[emoji1][emoji1][emoji1]
View attachment 1784041
Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisahau kama hawana vituo kama vya tukuyu na makandana.[emoji38]
Ile mishkaki ya miamia kule haipo aisee,,Ni mateso.
Sema mimi niliona dalili tangu mwanzo,,ile view ya Jana imekaa kifwedha,na kila niliyekuwa namuona alikuwa amekaa kifwedha kasoro mimi tu[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani rafiki yangu acha tu[emoji1787]Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sangaYaani rafiki yangu acha tu[emoji1787]
Hata mimi nilijua utashangaa[emoji38],,Kwanza hata mimi nashangaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nikaona huku siko kabisa,hakuna amsha amsha kabisa aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Wana Restaurant tu!mimi huyu wa mishkaki ya miambilimbili ni wa kuingia Restaurant ?[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu siyo mjumbe kama akina bibi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kijijini ni maarufu kwa jina la bibi dangote mpaka kichanga anaweza kukufikisha kwakeMungu siyo mjumbe kama akina bibi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah dadeq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kijijini ni maarufu kwa jina la bibi dangote mpaka kichanga anaweza kukufikisha kwake
Ridhika na kitambi cha bwana Jack..we vipiii?
[emoji23][emoji23][emoji23]Rizika na kitambi cha bwana Jack..we vipiii?
Mimi ni picha-phobic..[emoji23][emoji23][emoji23]
Babe wangu nimeridhika naye sana aiseee..
Nampenda sana hadi nachanganyikiwa.
Hivi picha ya meno yako utanitumia lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya basi Pm.