Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Christmas ni habari nyingine aiseee..Bado Christmas itakua sikukuu bora duniani hadi mwisho wa dunia, sijui kwa vile inaambatana na mwaka mpya
.Unavuruga sikukuu ya Mtume Sallalahu Allaih Wasalam




Nimekusubiri pale idd amin nduli airport nilikufungia tumishkak twa mbwa kwenye four-wheel lakini hukutokea






Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale
Nilisahau kama hawana vituo kama vya tukuyu na makandana.
Ile mishkaki ya miamia kule haipo aisee,,Ni mateso.
Sema mimi niliona dalili tangu mwanzo,,ile view ya Jana imekaa kifwedha,na kila niliyekuwa namuona alikuwa amekaa kifwedha kasoro mimi tu
Sent using Jamii Forums mobile app


Yaani rafiki yangu acha tuNa Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale![]()

,,Kwanza hata mimi nashangaa


.




Yaani rafiki yangu acha tu
Hata mimi nilijua utashangaa,,Kwanza hata mimi nashangaa
.
Nikaona huku siko kabisa,hakuna amsha amsha kabisa aiseee
Eti Wana Restaurant tu!mimi huyu wa mishkaki ya miambilimbili ni wa kuingia Restaurant ?
Sent using Jamii Forums mobile app



kwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sangaMungu siyo mjumbe kama akina bibikwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sanga











kijijini ni maarufu kwa jina la bibi dangote mpaka kichanga anaweza kukufikisha kwakeAh dadeqkijijini ni maarufu kwa jina la bibi dangote mpaka kichanga anaweza kukufikisha kwake






Ridhika na kitambi cha bwana Jack..we vipiii?
Rizika na kitambi cha bwana Jack..we vipiii?



Mimi ni picha-phobic..
Babe wangu nimeridhika naye sana aiseee..
Nampenda sana hadi nachanganyikiwa.
Hivi picha ya meno yako utanitumia lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya basi Pm.