Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekusubiri pale idd amin nduli airport nilikufungia tumishkak twa mbwa kwenye four-wheel lakini hukutokea

Nilisahau kama hawana vituo kama vya tukuyu na makandana.
Ile mishkaki ya miamia kule haipo aisee,,Ni mateso.
Sema mimi niliona dalili tangu mwanzo,,ile view ya Jana imekaa kifwedha,na kila niliyekuwa namuona alikuwa amekaa kifwedha kasoro mimi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nilisahau kama hawana vituo kama vya tukuyu na makandana.
Ile mishkaki ya miamia kule haipo aisee,,Ni mateso.
Sema mimi niliona dalili tangu mwanzo,,ile view ya Jana imekaa kifwedha,na kila niliyekuwa namuona alikuwa amekaa kifwedha kasoro mimi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale
 
Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale
Yaani rafiki yangu acha tu
Hata mimi nilijua utashangaa,,Kwanza hata mimi nashangaa.

Nikaona huku siko kabisa,hakuna amsha amsha kabisa aiseee
Eti Wana Restaurant tu!mimi huyu wa mishkaki ya miambilimbili ni wa kuingia Restaurant ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani rafiki yangu acha tu
Hata mimi nilijua utashangaa,,Kwanza hata mimi nashangaa.

Nikaona huku siko kabisa,hakuna amsha amsha kabisa aiseee
Eti Wana Restaurant tu!mimi huyu wa mishkaki ya miambilimbili ni wa kuingia Restaurant ?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sanga
 
Eid Mubarak. Takaballallah mina waminkun
20210514_110856.jpg
 
Back
Top Bottom