Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karibuni Daku
FB_IMG_1618435929318.jpg
 
Upendo ni jambo jema
Ila hata mimi nashangaa kama hao nyuma na najaribu kujiuliza, ndoa itafungwa wapi?
Nadhani mara nyingi wazazi huwa tunavutia upande wetu sana bila kuwasikiliza watoto nini wanawaza.
Mfano huo ni moja ya mifano mingi iliyovunja maisha ya vijana wengi na kugeuka makatili wa mapenzi.

Hawa wangeeleweshwa nini madhara ya kuwa na imani mseto,na zipi faida ya kutembea pamoja katika sala,kuabudu na kusifu sehemu moja,sidhani kama wangeshindwa kuuchagua upande uwafaao.

Ubaya ni kwamba wazazi tunaona hiki ni kitu kibaya,bila kuangalia kusudi la mahusiano ya watoto.

'Naomba nisaidie kitu,dini ni nini?'
 
Nadhani mara nyingi wazazi huwa tunavutia upande wetu sana bila kuwasikiliza watoto nini wanawaza.
Mfano huo ni moja ya mifano mingi iliyovunja maisha ya vijana wengi na kugeuka makatili wa mapenzi.

Hawa wangeeleweshwa nini madhara ya kuwa na imani mseto,na zipi faida ya kutembea pamoja katika sala,kuabudu na kusifu sehemu moja,sidhani kama wangeshindwa kuuchagua upande uwafaao.

Ubaya ni kwamba wazazi tunaona hiki ni kitu kibaya,bila kuangalia kusudi la mahusiano ya watoto.

'Naomba nisaidie kitu,dini ni nini?'
Umetoa maelezo mazuri sana ila bado hujanijibu swali langu.
Nimeuliza,je ndoa yao itafungwa wapi?

Nijibu halafu nitakujibu swali lako.
 
Kweli naona kama nimepungua... ni kutokana na stress za mapenzi nilizonazo😔
Maskini aiseh pole CM Hivi kumbe hata nyie mapenzi yanawasumbuaga ee..pole aiseh.ila na sisi wanawake jaman tunatolea wapi ujasiri wa kumtesa mtu kama ChickMagnet jamani na muonekano huo mzuri mzuri..au labda pesa yako imeshikana na roho uchunwi kirahisi.🤔🤔🤔Kweli hatujui tunataka nini.

Ila sio mbaya dear kunywa maji mengi utakaa sawa tu
 
Maskini aiseh pole CM Hivi kumbe hata nyie mapenzi yanawasumbuaga ee..pole aiseh.ila na sisi wanawake jaman tunatolea wapi ujasiri wa kumtesa mtu kama ChickMagnet jamani na muonekano huo mzuri mzuri..au labda pesa yako imeshikana na roho uchunwi kirahisi.Kweli hatujui tunataka nini.

Ila sio mbaya dear kunywa maji mengi utakaa sawa tu
 
Back
Top Bottom