Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,500
Ndiyo, but I advice you to accept it 🥂Kuna zawadi imeongezeka tena?
Si tulikubaliana ni hardcopy ya Tenzi za Rohoni na nyimbo za Tumwimbie Bwana.
Ndiyo, but I advice you to accept it 🥂Kuna zawadi imeongezeka tena?
Si tulikubaliana ni hardcopy ya Tenzi za Rohoni na nyimbo za Tumwimbie Bwana.
Mimi ni nani hata nikatae??Ndiyo, but I advice you to accept it![]()
Wera wera jirani, lets enjoy our time🕺🏻🕺🏻Mimi ni nani hata nikatae??
Tuko kama wote karibu tena mkuuWakuu kwema ? Sijapita huku siku kadhaa..
Chakorii upo? Hapa vipi? Achana na hicho kitambi cha Heineken
View attachment 1766368
Umependeza sana CM😘😘😘hongera.Wakuu kwema ? Sijapita huku siku kadhaa..
Chakorii upo? Hapa vipi? Achana na hicho kitambi cha Heineken 😁
View attachment 1766368
Kamuulizia ankali wako ujue..ninyi alikuwa anawasalimu tu🤣🤣
Sasa ufanye kunishtua na kunipa location muda ukifika 😋. Uzuri wa unachotumia hakizidi two bottles, nishindwe miye tu🥂
Hivi nilisema natumia kinywaji gani?Sasa ufanye kunishtua na kunipa location muda ukifika. Uzuri wa unachotumia hakizidi two bottles, nishindwe miye tu
![]()
Tuonyeshe mfano mpendwa wetu.WAPENDWA CHAT NA PICHA
Ulisema Soda au Azam MangoHivi nilisema natumia kinywaji gani?
NakaziaWAPENDWA CHAT NA PICHA

Kumbe unakumbuka vizuriUlisema Soda au Azam Mango
Au leo unataka ujaribu kunywa Hennessey??![]()
Chagua location nyingine hapo naogopa kuungamishwaKumbe unakumbuka vizuri
Safi sana,
Ongezea na grand malt.
Hivyo vyote uje navyo pale Mtakatifu Antony wa Padua Mbeya mjini bila kusahau Tumwimbie Bwana na Tenzi za Rohoni.
Kwani hujaungama?Chagua location nyingine hapo naogopa kuungamishwa
Niliungama mwaka Juzi, nikaambiwa enenda usitende dhambi tena. Kutokea hapo nimekuwa priest 🙈🏃🏻Kwani hujaungama?
Location ni hiyohiyo.
Pole sana,Niliungama mwaka Juzi, nikaambiwa enenda usitende dhambi tena. Kutokea hapo nimekuwa priest 🙈🏃🏻