Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji444]
Screenshot_20210430-110332_Google%20Play%20Music.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mchumba[emoji3]
Why why honey
Mbona uko mbali?
Mimi nateseka mawazo juu yako yananitesa[emoji23]

Leo naona bora jua
Kesho naona bora mvua
Uko wapi daktari
Mwenzio ugonjwa utaniuwa
kwenye joto siwezi kaa
Baridi ndo balaa laa
Siwezi kula ingawa nahisi njaa


Chiku Keto&Chid Benz
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]

Mambo vipi?
 
Why why honey
Mbona uko mbali?
Mimi nateseka mawazo juu yako yananitesa[emoji23]

Leo naona bora jua
Kesho naona bora mvua
Uko wapi daktari
Mwenzio ugonjwa utaniuwa
kwenye joto siwezi kaa
Baridi ndo balaa laa
Siwezi kula ingawa nahisi njaa


Chiku Keto&Chid Benz
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]

Mambo vipi?
Mchumba hizi nyimbo unasikiliza?
 
Haaaa kumbe[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nazijua vizuri sana hasa Hiphop.
Ila za kuanzia 2010 kushuka nyuma,si unajua mimi muhenga[emoji2960]

We ndo mpenzi wangu
We ndo kioo changu
Nikipendeza mtaani we ndo dizaina wangu wangu
Mshauri wangu wangu
Wa nyendo zangu zangu[emoji3059]
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]

Nilikuwa namalizia verse[emoji23]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom