Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hujambo Lee..![]()
Mzima kabisa
Hujambo Lee..![]()
Jambo la kheri Lee.Mzima kabisa
Naendelea poa kabisa Na Hii hali..naona leo mvua iliamua kusimamia kucha.😁😁
Huu mguu ni wako, moja kwa moja Zanzibar 🏊🏼🏊🏼🏊🏼🙈Sasa umechagua unaenda kwa mama mchungaji Tukuyu sijui Uyole au unakuja Zenji yakhe
Make Shua wallet hailowani na maji tafadhaliHuu mguu ni wako, moja kwa moja Zanzibar 🏊🏼🏊🏼🏊🏼🙈
Wallet nimeiweka kule mbali kwahiyo haitalowana, ila nimesahau ulisema nije na dollars au Tshs.??Make Shua wallet hailowani na maji tafadhali
Mchumba

Why why honeyMchumba![]()







Mchumba hizi nyimbo unasikiliza?Why why honey
Mbona uko mbali?
Mimi nateseka mawazo juu yako yananitesa
Leo naona bora jua
Kesho naona bora mvua
Uko wapi daktari
Mwenzio ugonjwa utaniuwa
kwenye joto siwezi kaa
Baridi ndo balaa laa
Siwezi kula ingawa nahisi njaa
Chiku Keto&Chid Benz
Mambo vipi?
Nazijua zipo kichwaniMchumba hizi nyimbo unasikiliza?







Ndugu yangu vipSnap it.Show it!
View attachment 1769403
Haaaa kumbe

Haaaa kumbe![]()

















T shs hizo vipi..njoo la dollar babu wee loh.Wallet nimeiweka kule mbali kwahiyo haitalowana, ila nimesahau ulisema nije na dollars au Tshs.??
Niliomba pia nauli ya kurudi ukumbuke kuniachia, manake pension yote nimekubebea 🙊🏃🏻🏃🏻
Anko frog nakusalimuSnap it.Show it!
View attachment 1769403