Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_5197.jpg

IMG_5196.jpg

 
Hili joto ninalohisi na presha ya kupanda na kushuka ninayohisi asubuhi hii ni ya aina yake toka nizaliwe..

Text zangu zimefumaniwa! 😂

Kama text tu zinanifanya nihisi kama niko Jehanam, najiuliza ningefumwa kwenyewe ingekuwaje?

Uhuni sio deal Wakuu, mbona mateso kiasi hiki!

Nirudi zangu porini mie nikaishi kwa amani maana nahisi kusakwa.
B9D69706-804A-4B76-9CD4-992840945C02.jpeg

Uko pori gani Chief
 
Kanisa halina jina??
Halafu huwa siendi makanisa ya vichochoroni..
Njoo Parokia ya Mtakatifu Antony wa Padua pale rufaa utanikuta.
Kweli wewe ile zawadi itakufaa, muda wote huo upo kwenye viunga vya kanisa🙌🙌, muda wa kuvunja mifupa ndiyo huu jirani, nitapita kukuchukua twende ukavunje mfupa wa bata kule mtaani 😋😜🏃🏻🏃🏻
 
Back
Top Bottom