Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Njoo tusome kitabu cha Wimbo uliobora kutoka kwa mtunzi mashuhuri, Mfalme Sulemani [emoji85][emoji85][emoji1322][emoji1322]
Suleiman alikuwa mwenye hekima sana lakini cha kushangaza wanaume mmecopy tabia mbaya tu kutoka kwa Suleiman.

Nataka Tenzi za Rohoni;Ni sikukuu
 
IMG_5197.jpg

IMG_5196.jpg

[emoji443][emoji444]
 
Kanisa la the .......ministry

Ukija nitakupa code, but I hope you are going to enjoy the service [emoji85][emoji87][emoji1322][emoji1322]
Kanisa halina jina??
Halafu huwa siendi makanisa ya vichochoroni..
Njoo Parokia ya Mtakatifu Antony wa Padua pale rufaa utanikuta.
 
Hili joto ninalohisi na presha ya kupanda na kushuka ninayohisi asubuhi hii ni ya aina yake toka nizaliwe..

Text zangu zimefumaniwa! 😂

Kama text tu zinanifanya nihisi kama niko Jehanam, najiuliza ningefumwa kwenyewe ingekuwaje?

Uhuni sio deal Wakuu, mbona mateso kiasi hiki!

Nirudi zangu porini mie nikaishi kwa amani maana nahisi kusakwa.
B9D69706-804A-4B76-9CD4-992840945C02.jpeg

Uko pori gani Chief
 
Kanisa halina jina??
Halafu huwa siendi makanisa ya vichochoroni..
Njoo Parokia ya Mtakatifu Antony wa Padua pale rufaa utanikuta.
Kweli wewe ile zawadi itakufaa, muda wote huo upo kwenye viunga vya kanisa🙌🙌, muda wa kuvunja mifupa ndiyo huu jirani, nitapita kukuchukua twende ukavunje mfupa wa bata kule mtaani 😋😜🏃🏻🏃🏻
 
Back
Top Bottom