Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli wewe ile zawadi itakufaa, muda wote huo upo kwenye viunga vya kanisa, muda wa kuvunja mifupa ndiyo huu jirani, nitapita kukuchukua twende ukavunje mfupa wa bata kule mtaani
Kuna zawadi imeongezeka tena?
Si tulikubaliana ni hardcopy ya Tenzi za Rohoni na nyimbo za Tumwimbie Bwana.
 
Hili joto ninalohisi na presha ya kupanda na kushuka ninayohisi asubuhi hii ni ya aina yake toka nizaliwe..

Text zangu zimefumaniwa!

Kama text tu zinanifanya nihisi kama niko Jehanam, najiuliza ningefumwa kwenyewe ingekuwaje?

Uhuni sio deal Wakuu, mbona mateso kiasi hiki!

Nirudi zangu porini mie nikaishi kwa amani maana nahisi kusakwa.
pole sana sana.. Unajua ukiamua kuwa bondia usiogope za uso... Na mara nyingi apandacho mtu ndicho avunacho....pambana na hali yako mwanawani
 
Eti pamoja sana..

Thank you kwa kuwa pamoja na mimi 🤗

Yaani Sisy Una moyo wa kipekee.
😄😄Ehee pamoja sana..

Usijali mwamba..🧚‍♀️

Hebu nifungukie Chief kwenye huu moyo nipate kutembea kwa madoido leo
 
ankal wangu huyu sasa
giphy.gif
 
Why did I do it on her?

Now I understand why ni bora kutokuwa na silaha kuliko kuwa nayo.

Maana ukiwa na silaha unakuwa na hamu ya kuitumia muda wote.

Nisamehewe I knew asingeweza kuhimili but I still pulled the trigger paaah!

Now she wanna go with me atelekeze her family.

Actually She is saying I am the only one who makes her feel special and alive.

Her husband treatments are terrible.

Sina rescue plan, may be I should take her kama sehemu ya kupambana na hali yangu. Hata hivyo mimi mwenyewe nimechukuliwa nilipokuwa mzembe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom