Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Sawa nitakupaKubaliana na wazo niingie kazini...![]()
Ewaaa hapo sasa jiandae kupata furaha... Baada ya mwezi utaona mabadilikoSawa nitakupa
Ewaaa hapo sasa jiandae kupata furaha... Baada ya mwezi utaona mabadiliko
Ataanza kuja kazini late, atakua rough n.k







BureeeNataka unichore..gharama zako zipo je?

She is beautiful indeed. MashaAllah.Wow she's beautiful, hongera kabinti kana kipaji cha uchorajimi napenda watu wanaotumia left hands
![]()
Hongera umekuza kabintiShe is beautiful indeed. MashaAllah.
Hata mimi pia nahusudu left handed people.
Huyu she use both hands. Na anaandika vizuri tu mikono yote miwili. Ila left ndio ana speed
18. Anajitahd
Yes our baby girlMtoto wetu![]()

Shukraan habibtyHongera umekuza kabinti
Watu wengi wanaotumia mikono yote kuandika huwa na nature ya ugenius.18. Anajitahd
Ndio raha ya kupata watoto mapema. Ona unalea wadogo zako.. hongera!18. Anajitahd
Ndio raha ya kupata watoto mapema. Ona unalea wadogo zako.. hongera!

Yah. Anachora kama hobby. Akiwa hana kazi yeye ni kuchora tuWatu wengi wanaotumia mikono yote kuandika huwa na nature ya ugenius.
Sijawahi kuona mtu anayetumia mashoto kilaza.
Huyo dogo akisoma na fine arts basi huko mbeleni atakuwa hatari, inaonyesha kuchora ni hobby yake na kipaji pia anacho.

Ameen.May the Almighty God grant her all the fortunes


