Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Chee chii choo chuu..🥂🥂Chaa!![]()
Chee chii choo chuu..🥂🥂Chaa!![]()
Ngoja tuoneUsijali, nimeona kwenye bajeti 2021/2022 mmetengewa fedha za kuajiriwa. Hope Mama atatimiza hili, baada ya hapo utazishika mpaka uchoke





afanye kabla hatujachakaa.Punguza mabalaa madame..usimtaje huyo mtu kwa sauti aise..nimemhamu mpka natetemeka..Mtu kwao anaju kuchagua☺
Karibu Ramadhan tufunge pamoja aise..Mzanzibara miye sijambo, Juzi nilikuja hadi kwenu ukanifungia vioo.
Nikaamua nirudi Bara, nipe mwaliko mwingine baada ya Ramadan nije tena
Shughuli za kilimo zimenibada kidogo, njoo nikufundishe kushika jembe 🙈🏃🏻🏃🏻
Unacheka sana na wewe loh!!ukimaliza kucheka ukanywe maji sasa maana mbavu hazitakuwa na ushirikiano na firigisi
Unacheka sana na wewe loh!!ukimaliza kucheka ukanywe maji sasa maana mbavu hazitakuwa na ushirikiano na firigisi












Nije lini?Bureee![]()

Nyie wadada huwa mnanipa raha sana hapa![]()
Ukinihakikishia nitakujaKaribu Ramadhan tufunge pamoja aise..
Umeona uoga wako sasa we nae umeondoka mapema..
Unahisi sijui kushika jembe eheee..sasa kwa taarifa ni kwamba nikishika jembe nakuwa Chakorii mwingine kabisaaaa
Huwezi kuchakaa kama utapokea zawadi yangu🙈🏃🏻Ngoja tuone
Atakuwa amefanya la mbolea sana,,wengine tunaogopa msoto mtaaniafanye kabla hatujachakaa.
Nikuhakikishie nini tena jamaniUkinihakikishia nitakuja
Nifungulie kule nikunong'oneze 🏃🏻🏃🏻Unanisingizia sijui kitu aiseh..jamani Hebu niachieni huyu kipenzi changu nyie.na sijui yuko wapi ninamuda sana sijamuona😩😩
Wewe una naniliu nzuri sana lips zako zinaongea kila kituKumbe bila lipgloss inawezekanaView attachment 1765659
HakikaMaisha ni mafupi mdogo wangu..furahi tu
Hakika siwezi kuchakaa maana Tenzi na Rohoni na tumwimbie bwana zimebeba jumbe ambazo hutoa furaha nyakati zote.Huwezi kuchakaa kama utapokea zawadi yangu![]()
Chief kule haruhusiwa mtu kuingiaNifungulie kule nikunong'oneze 🏃🏻🏃🏻
Usiniambie umeanza kuwa mganga wa kienyejiWewe una naniliu nzuri sana lips zako zinaongea kila kitu