Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thank you Gerry, ndiyo nipo hivo mkuu ila kama unapenda niwe kibongee i will do it for you, ntajilazimisha kula hata milo 6 a day
hapana for me dont do that......mabonge kwa kweli hawanibariki nawashangaa sana fans wa bonge nahs ni wagonjwa



mkuu wangu jinsi ulivyo ndivyo inavyotakiwa kua


sawa??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
hapana for me dont do that......mabonge kwa kweli hawanibariki nawashangaa sana fans wa bonge nahs ni wagonjwa



mkuu wangu jinsi ulivyo ndivyo inavyotakiwa kua


sawa??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu nimekuelewa, ila tunatofautiana hizo nyama nyama zina raha yake kwanza unakua msoft tofauti na sisi tumekomaa mifupa mitupu😀😀
 
Neno hili likafanyike baraka kwako sasa na hata milele ...Aamen!
IMG-20210426-WA0255.jpg
 
 
Back
Top Bottom