Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Tungeendana sana na huyo dada kimuonekano...sema basi tu anakaza
Super tall



Tungeendana sana na huyo dada kimuonekano...sema basi tu anakaza
Super tall



Tungeendana sana na huyo dada kimuonekano...sema basi tu anakaza![]()








acha ufalaYani ukiwa na utege tumbua linakua limevimba....na kama unavyojua tumbua lililovimba linamung'unya dushe kwa ndani![]()











Yes i am Gerry! Vipi kwani😛
Mbona na yeye ni mnywaji mzuri tu...
Ungeacha pombe kipindi kile umeweka Hadi thread,mbona angekukubali tu!
nilikua naku imagine kama boongeeeee.......kumbe imagination zilienda alijojoYes i am Gerry! Vipi kwani![]()

Mambo zenu ndg zangu, please natafuta faraja tu mimi moyo wangu unapitia maumivu makali sana mpka kuna muda namkufuru mungu ila maumivu haya sijui nimpe nan tu..
Sina hakika kama ni hadhabu nimepewa na mungu au ni binadamu tu ndo walivo..
Kusema ukweli leo ndo nimeamin binadamu hatupendan ata kidgo hasa yule unaye muona wa maan kwako hyo anakuwa snich kwenye maisha yako..
mara nyingi nimekuwa mtu wa huruma sana hasa kwa wafanya kazi wenzangu, mdada tunaye fanya nae kazi mmoja wao nilimchukulia ndg kiasi kwamba tuliachiana magepu ya kazi pale wanapo tokea wateja wengi, nimekuwa mstar wa mbele sana kumsaport kuliko wengine wote..
Lakin amuwezi amini leo naumia kwa ajili yake, toka asubuhi ni kama naimeamka na gundu tuleo siku nzima hakuna mteja niliye mshika kumhudumia, ajabu kuna mteja kaja mpka mapokezi nikamuandika jina na nikachukua fail lake tayari kuangalia taarifa zake za awali ile bado nakagua nikaitwa nje kuna mzigo nilitakiwa kwenda kuuchukua jamn kutoka nje tu atua 5 narudi nashngaa kasha mchukua mteja wangu
Ilo halikinipa presh kinacho niumiza hyu dada kampgia boss simu anamwambia leo sifanyi kazi nipo tu nakalia kuchart wateja wanakuja kwa drisha langu siwasikilizi![]()
Ukweli naumia boss kanipgia simu ananifokea kama mtoto ajabu ananiuliza kuanzia asubuhi usha udumia wateja wangap nikamjibu bado
aisee kafoka sana mpka naona kma nazalilika tu hapa nataman ata kuacha kazi kila nikmuona hyo dada napata hasira sijui kwa nn kanifanyia roho mbaya kama hii wakat ndo mtu wangu wa karibu
Hii hali inanifanya napata hasira kwa kila mtu anaye niongelesha, naona kama leo nimezalilika sana kibaya zaid wamenitenga aiseee nimekaaa kama mtu niliye fiwa adi nataman ifike saa mbili haraka nitoke hapa![]()



acha kufikilia uliza tu swali ujibiwe mkuu
Pole SanaMambo zenu ndg zangu, please natafuta faraja tu mimi moyo wangu unapitia maumivu makali sana mpka kuna muda namkufuru mungu ila maumivu haya sijui nimpe nan tu..
Sina hakika kama ni hadhabu nimepewa na mungu au ni binadamu tu ndo walivo..
Kusema ukweli leo ndo nimeamin binadamu hatupendan ata kidgo hasa yule unaye muona wa maan kwako hyo anakuwa snich kwenye maisha yako..
mara nyingi nimekuwa mtu wa huruma sana hasa kwa wafanya kazi wenzangu, mdada tunaye fanya nae kazi mmoja wao nilimchukulia ndg kiasi kwamba tuliachiana magepu ya kazi pale wanapo tokea wateja wengi, nimekuwa mstar wa mbele sana kumsaport kuliko wengine wote..
Lakin amuwezi amini leo naumia kwa ajili yake, toka asubuhi ni kama naimeamka na gundu tuleo siku nzima hakuna mteja niliye mshika kumhudumia, ajabu kuna mteja kaja mpka mapokezi nikamuandika jina na nikachukua fail lake tayari kuangalia taarifa zake za awali ile bado nakagua nikaitwa nje kuna mzigo nilitakiwa kwenda kuuchukua jamn kutoka nje tu atua 5 narudi nashngaa kasha mchukua mteja wangu
Ilo halikinipa presh kinacho niumiza hyu dada kampgia boss simu anamwambia leo sifanyi kazi nipo tu nakalia kuchart wateja wanakuja kwa drisha langu siwasikilizi![]()
Ukweli naumia boss kanipgia simu ananifokea kama mtoto ajabu ananiuliza kuanzia asubuhi usha udumia wateja wangap nikamjibu bado
aisee kafoka sana mpka naona kma nazalilika tu hapa nataman ata kuacha kazi kila nikmuona hyo dada napata hasira sijui kwa nn kanifanyia roho mbaya kama hii wakat ndo mtu wangu wa karibu
Hii hali inanifanya napata hasira kwa kila mtu anaye niongelesha, naona kama leo nimezalilika sana kibaya zaid wamenitenga aiseee nimekaaa kama mtu niliye fiwa adi nataman ifike saa mbili haraka nitoke hapa![]()
Sawa mamaPole Sana
Usijenge matarajio makubwa kutoka kwa watu.
Tenda wema nenda zako.
Dunia ndivyo ilivyo.Sawa mama
Ila hii dunia mmh!!
acha kufikilia uliza tu swali ujibiwe mkuu
Yaan ila angalau saa hv najifarij na ka move hapa home kuliko muda ule nilikuwa nae ofsn dah nilikuwa naona kama muda hauendi aiseeHapana mkuu,najaribu kufikiria hiyo changamoto unayopitia.
"tiririri tiririri tiririri"..hapo najipigia mluzi taratibu huku mikono iko mfukoni.
Kwani vipi tena rafiki?😀😀"tiririri tiririri tiririri"..hapo najipigia mluzi taratibu huku mikono iko mfukoni.
Afu unatumia left hand dear? 😘