Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
upo wap nije tuungane mkuu😉😘
upo wap nije tuungane mkuu😉😘
Mbona kama unanicheka mkuu😀Safiii![]()
Mbona kama unanicheka mkuu![]()
NitarudiNaomba leo uselfike![]()
Haya poa mkuuHapana mkuu,nafurahia picha ya mrembo FS
Na pombe hahahahaWewe jamaa muda wote unawaza tu viunoni![]()
Wadhungu wanasemaga I'm in love
Si ulinikataza future wifeKhaa Leo umeamka na mipombe wewe![]()
Msamiati huo sijaambulia kituKweli wewe ni mlumendago![]()
Umesahau ulichagua pombe kuliko mimi waifu wako?😀Si ulinikataza future wife
You're in love with my matege eeh?Wadhungu wanasemaga I'm in love
Nilikua nimelewa ndio maana.. Ningekua mzima ningekuchagua weweUmesahau ulichagua pombe kuliko mimi waifu wako?![]()
Ooo yeaaaYou're in love with my matege eeh?
Sasa you're in love na nini😬😬Ooo yeaaa



NasubiriNitarudi
Kweli kitambo sanaView attachment 1764813Happy Muungano day wazee kitambo sana!