Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Jack Palladino ni wako mtakatifu.ondoa wasiwasi.tulikuwa tunajadili maswala ya nchi kidogo
Hahaha huyu ni wangu Saint Anne na ana sifa zangu zoteJack Palladino ni wako mtakatifu.ondoa wasiwasi.tulikuwa tunajadili maswala ya nchi kidogo
Nimecheka sana hiyo sentensi ya mwishoJack Palladino ni wako mtakatifu.ondoa wasiwasi.tulikuwa tunajadili maswala ya nchi kidogo












Ewaaaaaa....sasa ndo uache kupiga vyombo uweke chombo ndani JHahaha huyu ni wangu Saint Anne na ana sifa zangu zote
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Ehee bhana..tulikuwa tunajadili mawili matatu yahusuyo nchi..Nimecheka sana hiyo sentensi ya mwisho
Ujue wewe ni comedian
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Soon namuweka ndaniEwaaaaaa....sasa ndo uache kupiga vyombo uweke chombo ndani J
Eti kiburudisho X au weweEhee bhana..tulikuwa tunajadili mawili matatu yahusuyo nchi..








Fanya hivyo Chief.tukule ubwabwa na ndondo
Hapa nilikuwa namaanisha X kiburudisho wangu nilikuwa napenda avae kama Shem darling Jack.👇
Hata mimi nilikuelewa hivyo sema yaani imenichekesha jinsi ulivyoongeaHapa nilikuwa namaanisha X kiburudisho wangu nilikuwa napenda avae kama Shem darling Jack.View attachment 1761757






🥂🥂🧚♀️🧚♀️
Ahaaa kumbee..ndugu mwananchi naomba uendelee kukaa kwa utulivu..kikao kizito bado kina endelea ofisini.asante kwa kutuaminiHata mimi nilikuelewa hivyo sema yaani imenichekesha jinsi ulivyoongea
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wala msijaliAhaaa kumbee..ndugu mwananchi naomba uendelee kukaa kwa utulivu..kikao kizito bado kina endelea ofisini.asante kwa kutuamini









ijumaa tu ndio namtoa anakuja hapa
Paukweli mkuu
MchumbaWala msijali
Chatini naye tu,mimi ninaye wiki nzimaijumaa tu ndio namtoa anakuja hapa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
