Hapana sibadiliki kwa ajili ya mwanaume ila nabadilika kwa ajili yangu mwenyewe huwa najisikia amani sana moyoni nikiwa mpole na mnyenyekevu kwa mtu yeyote yule hata kama siyo mume wangu au wazazi wangu...but not for now
I'm proud with my age... Kama una miaka 40 ni yako nami nitafika huko akipenda Muumba.
I'm young to yo but I've experienced a lot off stuffs than you.. And certainly u can reach them..
kabisa yaani mie mwenyewe nilivamia ugomvi tu ila eti ndiyo nikajikuta nina hasira kuliko waliotukanwa hadi kaka wa watu kanung'unika haki inabidi niache huu utani wa kijinga humu JF kuna watu huwa wanamaindi kweli aise yaani mimi nikija kupata mume kauzu asiyependa matani sijui nitaishije nahisi nitakuwa nakula mabanzi kila siku