Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli mchawi siyo lazima apae na ungo usiku!!

Yaani hata wewe ni wa kuniombea mimi nisiache utoto kweli??
Hard for you to change Marianah.

Ila kuna wanaume kibao wanaelewa watu kama wewe hivyo hivyo ulivyo.

So huna aja ya kuhofia tabia zako.
 
Hard for you to change Marianah.

Ila kuna wanaume kibao wanaelewa watu kama wewe hivyo hivyo ulivyo.

So huna aja ya kuhofia tabia zako.
Hapana sibadiliki kwa ajili ya mwanaume ila nabadilika kwa ajili yangu mwenyewe huwa najisikia amani sana moyoni nikiwa mpole na mnyenyekevu kwa mtu yeyote yule hata kama siyo mume wangu au wazazi wangu...but not for now
oh please
 
Msamaha gani ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…