halafu haujui tu mimi nikiolewa I will make a very good wife basi tu huwa najichetua akili ila I know someday nitaacha huwa nasema huu ujinga nisipoufanya sasa hivi nitaufanya lini tena nikiwa kwenye ndoa au??
JF is the only place where we can dare talk openly, besides JF there's no other place where we can confidently express our disgruntlements about this fascistic government.
I personally won't stop to animadvert this reprehensible government and no one will snatch me.
😆😆Ndege wanaofanana ndio huruka pamoja...kwa hiyo sababu wewe si kisu bali ni panga kabisa lazima uwe na marafiki mapanga wenzio
Halafu nilishamuhisi ni nani uliyemmaanisha na ktk hawa nishapata picha japo walau😄