Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kubali kwanza kunipa mwaliko nije Mbeya, nina hakika nitakushinda iwe kwenye New Testament au Old Testament.

Ila please Chakorii usimwambie kuwa umeniita Mbeya, hachelewi kunifata na RPC

Inaonyesha uko vizuri Sana mkuu.
Mimi ni mweupe yaani siyo Old Wala New Testament..zote chenga tu!
Ila itakuwa vema maana tutazidi kumbushana Exodus kitabu kilichobeba zile amri 10 za Mungu.
 
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!

I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!

Hiyo sentensi ya mwanzo imenichekesha na kunisikitisha.
 

Inaonyesha uko vizuri Sana mkuu.
Mimi ni mweupe yaani siyo Old Wala New Testament..zote chenga tu!
Ila itakuwa vema maana tutazidi kumbushana Exodus kitabu kilichobeba zile amri 10 za Mungu.
Ngoja niangalie flight ya Jumapili Mbeya, ili ibada ya mchana niwe kanisani kwenu 😀😀.

Bahati nzuri na uzee huu bado naweza kusoma bible bila ya miwani, jiandae kunipa zawadi kwa ushindi 💪🏃🏻
 
20210416_142623.jpg
 
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!

I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!

It's okay mbona, yaani mtu kubadilika ni kawaida sana, either kwa uzuri au ubaya. Isikusikitishe!
 
Back
Top Bottom