Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Hahaha wewe ambaye malaika aliyepewa kazi ya kuandika dhambi zako humpi hata muda wa kupumzika! Yaani ni kazi kazi tu bandika bandua!Mbona mimi nipo decent ila huko piemu kuna vumbii balaaa...hata njia ya kwenda huko nishasahau