Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mazingira yanawabadilisha watu, situations zinawabadilisha pia. Kuna mambo mengi yanatubadilisha, ndio maana unaweza kusoma comments za mtu miaka mitano iliyopita, ukilinganisha na mwaka huu ukajiuliza imekuwaje tena mbona huyu hivi..
Daah kwa kweli imenisikitisha sana! Another man down!

I hope utaelewa kwanini wengine tumeamua kujiweka pembeni daddy! Tunajijua kabisa kuwa hatuwezi kuvumilia mambo kama haya ndiyo maana tukaona isiwe taabu!
 
Labda kama nmechanganya, coz ilikuwa n mwaka jana mwezi wa 2 tukiwa tunavuna mahindi tulikuta na nyoka flan hv n wanene afu wafupi, pamoja na kupanda mgongini lakin hakuleta shida yoyote mpaka tunakuja kushtuka kuwa n nyoka tukawapiga na kuwaua wanaowajua vzur ndio wakaniambia hvyo "hao nyoka hawanaga shida". hv hao kifutu ndo wale wanatanuaga vchwa or...?
Basi hao itakuwa nyoka wa aina nyingine! Ila nyoka aina ya kifutu na koboko wote wakali wala hawasubiri uwachokoze!

Mmhh kuna nyoka anayetanua kichwa kweli mbona sijawahi sikia? Au unamsemea swila (cobra) yule anayetanua shingo?
 
Back
Top Bottom