Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Leo simuoni Mkwepu
Leo simuoni Mkwepu
Hahaaaaaahahhaahahaa

Tulikosea mahesabu tumemwachia mtaalamu Jack chainNyie mlikuja kushindana wakati jamaa alishanipata tayari.
Japo penzi lipo kwenye depression![]()
Nigawie elfu tano
Ila jamaa sijui hata alinirogajeTulikosea mahesabu tumemwachia mtaalamu Jack chain
Jamaa ana dawa Kali sana mpaka Mimi Mr C naibiwa mchana kweupeIla jamaa sijui hata alinirogaje
Nampenda balaa pamoja ya ukemia wake wa kuchanganya vileo.
Jamaa ana dawa Kali sana mpaka Mimi Mr C naibiwa mchana kweupe

"Grass ain't greener on the other side" what follows is to step down
Yaani kwamba?


Tobaaa"Grass ain't greener on the other side" what follows is to step down![]()









Hahahahaha siku MOJA MOJA naotea oteaTobaaa
Ngoja nikimbie kuchukua dikshenari
Kumbe na wewe uko vizuri mwanangu,
Sasa mbona kila siku unaniongelea kihehe![]()
Hahahahaha siku MOJA MOJA naotea otea






Kili bariiidi tu Hahahahaha
Dah leo sijui umepiga vyombo vya wapi aisee!
Hadi natafuta dikshenari kweli![]()
As usualKili bariiidi tu Hahahahaha
Alfajiri Naenda kwa Madiba najua ntazikosa siku kadhaa so nazikomesha hapaAs usual
Ndiyo maana aisee.
OkeeeAlfajiri Naenda kwa Madiba najua ntazikosa siku kadhaa so nazikomesha hapa
Ndio Nilipata salamu sema Kuna vijana wanatumia dawa ninawahofia mnoo Mimi nitafute hela kwa Tabu tena nianze kutafuta na dawa za kupambana naoOkeee
Salamu si ulizipata?




Ndio Nilipata salamu sema Kuna vijana wanatumia dawa ninawahofia mnoo Mimi nitafute hela kwa Tabu tena nianze kutafuta na dawa![]()





