Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona mimi nipo decent ila huko piemu kuna vumbii balaaa...hata njia ya kwenda huko nishasahau
 
Morogoro ni mpana umbali kutoka centre kwenda huko mahenge huko si mchezo, ukizingatia barabara halina lami ni tabu tupu..
Ila kuivuka moro kutokea pwani kwenda dom ni dk 0 tu.
huko mahenge ndo baraha sasa, yaan barabara kutoka ifakara hadi mahenge ni shida tupu, mlima ndororo ule ni noumaaah mweeeh, tena isingekua lami sijui inakuaje lol.
 
Yaani mimi nilikuwa nataka niseme ila nikawa nakosa pa kuanzia

Bora umesema.


Aiseee
 
Mazingira yanawabadilisha watu, situations zinawabadilisha pia. Kuna mambo mengi yanatubadilisha, ndio maana unaweza kusoma comments za mtu miaka mitano iliyopita, ukilinganisha na mwaka huu ukajiuliza imekuwaje tena mbona huyu hivi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…