Siyo mimi wala wewe tu! Wengi wanamkubali kwa sababu wanadhani yuko hivo kumbe mweee fikajapo na fimo!
Si unajua wanawake wengi JF wanapenda wale wanaume ambao wanaonekana wako very decent kwa sababu kwenye dunia ya sasa wamebaki wachache na wanahesabika! Binafsi nilishaanza hadi kumpongeza aliyenaye kuwa ana bahati!
Morogoro ni mpana umbali kutoka centre kwenda huko mahenge huko si mchezo, ukizingatia barabara halina lami ni tabu tupu..
Ila kuivuka moro kutokea pwani kwenda dom ni dk 0 tu.
huko mahenge ndo baraha sasa, yaan barabara kutoka ifakara hadi mahenge ni shida tupu, mlima ndororo ule ni noumaaah mweeeh, tena isingekua lami sijui inakuaje lol.
Siyo mimi wala wewe tu! Wengi wanamkubali kwa sababu wanadhani yuko hivo kumbe mweee fikajapo na fimo!
Si unajua wanawake wengi JF wanapenda wale wanaume ambao wanaonekana wako very decent kwa sababu kwenye dunia ya sasa wamebaki wachache na wanahesabika! Binafsi nilishaanza hadi kumpongeza aliyenaye kuwa ana bahati!
Mazingira yanawabadilisha watu, situations zinawabadilisha pia. Kuna mambo mengi yanatubadilisha, ndio maana unaweza kusoma comments za mtu miaka mitano iliyopita, ukilinganisha na mwaka huu ukajiuliza imekuwaje tena mbona huyu hivi..