moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,152
- 770,267
Ndio hivyo yani, pa kushika pawepo!Weeee wachaaaa

Kwahiyo sasa Eli.. wale wanaotakaga vimbaumbau mwiko wa pilau ni akina nani?Ndio hivyo yani, pa kushika pawepo!![]()
Mimi hata siwajui asee, binafsi yangu pa kushika pawepo, tena pa kutosha yani. From the boobs going down, teh hivyo tuKwahiyo sasa Eli.. wale wanaotakaga vimbaumbau mwiko wa pilau ni akina nani?

Umeacha ulozi? Manake naona ni verses za Bible tu sasa.Waebrania 4:1-2
[1]Basi, ikiwa ikaliko ahadi ya kuingia katika raha yake, na tuogope, mmoja wenu asije akaonekana ameikosa.
[2]Maana ni kweli, sisi nasi tumehubiriwa habari njema vile vile kama hao. Lakini neno lile lililosikiwa halikuwafaa hao, kwa sababu halikuchanganyika na imani ndani yao waliosikia.
Asalamaleko jirani.
Aisee kumbeee...sasa mbona mnatuchoshaga na milimao na mimaji ya moto mara sijui vikapanda vikashuka...Mimi hata siwajui asee, binafsi yangu pa kushika pawepo, tena pa kutosha yani. From the boobs going down, teh hivyo tu![]()
Aisee kumbeee...sasa mbona mnatuchoshaga na milimao na mimaji ya moto mara sijui vikapanda vikashuka...
Kwanzia leo sifanyi mazoezi ya kupunguza mwili tena
Haya C Lee rudisha kwanza ile avatar ya yangu ya sikuzote tusalimianeMorning
Jirani yako nani?Asalamaleko jirani.
Kwahiyo unanikana?Jirani yako nani?
Haya C Lee rudisha kwanza ile avatar ya yangu ya sikuzote tusalimiane
Aisee kumbeee...sasa mbona mnatuchoshaga na milimao na mimaji ya moto mara sijui vikapanda vikashuka...
Kwanzia leo sifanyi mazoezi ya kupunguza mwili tena
Kho khoTeh teh!
Teheteheteheteheeee....Hahahahahahaha
Hahaha...nimejaribu kuzoom yaliyomo rangi nyeusi imekinga/zuiaWeee usiniambie