Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisaaah yaaan.
FB_IMG_16183801947939294.jpg
 
Kitu uelewi ni kwamba hata kwaya ni ulevi pia, imagine mtu anatoka mbeya kaacha familia na mtoto Mchanga anakwambia anaenda kwenye sijui tamasha.
Kila mtu anakaulevi kake,sio lazima iwe pombe.
Yaani nilichomaanisha mimi ni hicho kwa maana ya uraibu.
Sijamaanisha ulevi wa pombe tu!

Hata mimi nina ulevi wangu.
 
Back
Top Bottom