Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Weka Sasa bossSawa Mkuu, nimekusikia.
Weka Sasa bossSawa Mkuu, nimekusikia.
Haki ya nani mpira ni kama Ulevi.

karma nae kauliza kikudaYaani nilivyoona picha nikacheka weee..nikajikaza bila kucomment.
Amekuja karma ni Kama amenitekenyanikaporomosha cheko lote kwa comment
Mwee Kalumbu ifindu ifyo mma fyoma












mwenyewe nikacheka then nikaiangalia my tattooo..Yaani nimecheka Sanakarma nae kauliza kikudamwenyewe nikacheka then nikaiangalia my tattooo..
.
Karma siko nyuma ni tattoo mama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app




















Jamani
Kama wewe ulivyo mlevi wa JF Mkuu.




Kwahiyo nimwambie aliyenificha litampata tukio si ndio😄😄Safi kabisa! Huyo aliyekuficha siku mbili hizi muambie anatutafuta ubaya!
Litakufa Jitu![]()
![]()
🤣🤣🤣🤣🤣 jaman kwani niliwaza nini siku hiyo..chaaa..
Kitu kama "naomba kwanza urudishe ile avatar ndipo tuzungumze"
hahahahahhahahaha nina mpango niongeze tattoo...nitaandika KARMAYaani nimecheka Sana
Comment ya Karma imenimaliza nguvu
Naye ni kama ameshangaa kweli wakina mwakalinga na tattoo wapi na wapi![]()
et na ww una tattooAh ah ah kalumbu na Wewe una tattoo


















Hahaha nilitegemea tu unipige jungu. Nafsi huwa inanileta tu fastaaaaaa










Kaka chura atakuandama Sanahahahahahhahahaha nina mpango niongeze tattoo...nitaandika KARMA
si itasound???.....
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app



Mimi huwa napata tabu sana.Kwa matatizo hayo hata mimi ningeacha..
Si bure ungekuwa unaenda uwanjani ungeng'oa hata viti...
Mpira ni mchezo wa kistaarabu.








siwezi vumilia kuona hayo maumivu ya kufungwa.Kupotea njia tenaPole sana Mkuu kwa kupotea njia..
Hongera kwa kujitambua.
,si tulikubaliana huo ndio ushabiki wa dhati
Ushabiki wa dhati hadi kupagawa!![]()






Mwenyeji unanifanya mgeni, kila siku niwe mlangoni kwako kubisha hodi ujue,


