Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,532
Ni vyema Shem darlingZa kwangu njema/salama kabisa mpendwa
Ni vyema Shem darlingZa kwangu njema/salama kabisa mpendwa
Karibu sana usukumani(kaka wa kienyeji nimekupatia/tafutia)Ni vyema Shem darling
Hebu fanya mchakato nipate msukuma mwenzio nihamie usukumani kwenu.Karibu sana usukumani(kaka wa kienyeji nimekupatia)
Jiandae kuhamiaHebu fanya mchakato nipate msukuma mwenzio nihamie usukumani kwenu.
Ni yupi huyo shem wa kienyeji?
Soon hiyo ni lini shemeji wa kienyeji nimechoka kusubiri hiyo soonJiandae kuhamia
Yupo soon utamuona/nitakuonyesha maana nimemuonyesha lipsi denda zako na mguu wa taifa kakuelewa mno
Hakuna cha ajabu chini ya jua.Nikisema hapa nitaonekana wa ajabu Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nina ulevi Kenya vitu vya ajabu hadi najishangaa.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23]Wacha wee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Uje, haijalishi umefunga au laaNakuja kufturu japo sijafunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri wenu waislam kwenye maswala haya ya chakula yaani siyo wachoyo kabisa.
Itoshe kusema nina ulevi na vitu vya ajabu aisee[emoji38][emoji38]Hakuna cha ajabu chini ya jua.
Ndio maana jina lako ni tofauti na mwingine,so everyone has her/his own unique.
We sema tu wala usihofu.
Woyooo[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji1787][emoji1787]Uje, haijalishi umefunga au laa
Umeanza mzee[emoji39]
Where to...!!!Today again
My all time luxury BusView attachment 1751456
Sijambo kaka mambo!Hujambo mkuu
Nipo hapahapa town ila hilo Bus nimeliona tena leo ,palepale nilipoliona jana.Where to...!!!
Mwenyewe nalipenda Dom to Dar juzi nimefanya booking nimekosa imejaa!!Nipo hapahapa town ila hilo Bus nimeliona tena leo ,palepale nilipoliona jana.
Nikaishia kufurahi maana ni gari nililokuwa nalipenda Sana kupanda.
Yaani mimi nipo radhi kulisubiri hata siku 2 ili mradi nipate seat.Mwenyewe nalipenda Dom to Dar juzi nimefanya booking nimekosa imejaa!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cheka tu mtumishi wa MUNGU