Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hhaahahahaahaha endelea kuchochea karama yako ya uvumilivu. Umenichekesha sana hapo mwishoni.

Bana mimi huwa nikiamua kuonana na mtu, nanyoosha tu na milonjo yangu sina habari. Ni vile siku hizi nazeeka + majukumu, kuna muda nakwama. But tuombe uzima bana, tutaonana mdogo angu.

Amen dada angu mzuri mzuri
 

Basi itabidi uanze kutilia maanani sasa kuwa na wewe ni comedian

Kuna comment yako moja hivi SYB alikuwa amebadili avatar akakuquote ukamuambia airudishe ile ya siku zote. Sasa namna ulivyomuambia (nimesahau) na zile emoji ulizoweka aisee nilicheka sana siku ile nikajisemea tu haki huyu sijui anapuliza kile chenyewe cha Jamaica.
Yaani humu ndani Kuna Khantwe,Jael,Chakorii,Hornet.
Kila nikitana na comments zao sehemu lazima tu ziwe zinachekesha
 
Hahaha basi tunafanana! Mimi pombe hizi wanazosema ni nyepesi hazina tofauti na juisi eti kisa hazina hangover basi eti mimi ndiyo naziona chungu na huwa nazinywa basi tu!

Mimi pombe kama Zanzi na Amarula zinanishinda sababu ya kuwepo na ile ladha ya maziwa maana mimi na maziwa fresh ni mbingu na ardhi aisee hata ile harufu yake tu huwa sipendi kuisikia! Savanna ndiyo kabisa naionaga mbaya kinome ila eti naambiwa ndiyo kipenzi cha wawanawake wengi hapa mjini!
 
GGMU
20210411_214912.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom