Selfika na JF: Snap it. Show it

Inshallah

Tukijaaliwa uzima na afya mama ...na mimi niyapate mawaidha yako mubashara


Yani basi purukushani tu nilikuwa hukoo wanapaita mlimba sijui




Yaani ni umenichekesha kupita maelezo jamani, pole kwa mkasa. Eti simuoni boda wala boda yenyewe
 
Hhaahahahaahaha endelea kuchochea karama yako ya uvumilivu. Umenichekesha sana hapo mwishoni.

Bana mimi huwa nikiamua kuonana na mtu, nanyoosha tu na milonjo yangu sina habari. Ni vile siku hizi nazeeka + majukumu, kuna muda nakwama. But tuombe uzima bana, tutaonana mdogo angu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…