Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Kuna watu kadhaa walishaniambia pia ila siku tulia maanani saaana.![]()
Yaani hata Khantwe naye anasemaga hivyo hivyo kuwa anashangaa kwanini watu wanacheka anayoyaandika wakati yeye anayaonaga ya kawaida. Ukiona watu wengi wanasema hivyo basi ujue kweli vinachekesha ila tu wewe mwenyewe unakuwa haunotice hicho kitu.
😁😁😁😁😁




