Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
NduguWifi yake Saint Anne ni qeen jojo!
NduguWifi yake Saint Anne ni qeen jojo!
Karma leeOh Karibu tena dear
Upo sahihi chief,nimetembea mikoa mingi nchini,ila nafurahia sana maisha na mandhari ya mikoa hiiSuala la kutunza mazingira Morogoro ni la kimila.
Misitu ya asili ya mkoa huo bado inatunzwa na kuzalisha mvua za kutosha kila siku.
Ndiyo maana mpaka sasa bado wameweza kuhifadhi maji mengi kwenye mito ya mkoa huo kuliko mkoa wowote ndani ya jamuhuri ya Tanzania.
MkuuSuala la kutunza mazingira Morogoro ni la kimila.
Misitu ya asili ya mkoa huo bado inatunzwa na kuzalisha mvua za kutosha kila siku.
Ndiyo maana mpaka sasa bado wameweza kuhifadhi maji mengi kwenye mito ya mkoa huo kuliko mkoa wowote ndani ya jamuhuri ya Tanzania.
Duuh spirit na maziwa! Pampula umeshindikana!Siku njema kwenuView attachment 1748988
Duuh saa sita unusu usiku? Wakati hapo Dar-Mbeya ushafika ushalala na uchovu wa safari ushapoa!Hadithi inasisimua sana.
Ila daaa!! Mkoa wa Morogoro ni mkubwa sana.
Tumetoka Dar saa 12 asubuhi tukaingia Moro mjini saa 2:00. Ifakara saa 7:30, Mahenge saa 1 usiku, Mwaya saa 4, Iputi saa 5, Ilonga Selous Game Reserve saa 6:30 usiku.
Mkoa huo huo mmoja unatembea masaa kibao![]()
Duh kumbe barabara ishapendeza hivi? Last time nilipita walikuwa bado wanatandaza lami!
samahani kwa kukuangusha kalumbu..amka songa mbele
Ayayayaya kalumbu unaniangusha





Habari za jumapili
Nambie Lee Karma
samahani kwa kukuangusha kalumbu..amka songa mbele
YANGAAAA
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app




Salama Kabisa sijui kwakoHabari za jumapili
Nionee chakoriiSalama Kabisa sijui kwako
Mnoooo....Morogoro ni kijani, kijani kabisa
Mnoooo....Morogoro ni kijani, kijani kabisa
Nionee chakorii
Mnoooo....




Namsalimia kwa niaba ya ndugu yangu mzee wa chura
Nishamuona
Kupo vyema yan usipime, mwanzo mwisho unaenjoy safariDuh kumbe barabara ishapendeza hivi? Last time nilipita walikuwa bado wanatandaza lami!
Karma Moro ni kubwa mnooo aise...ni kama imekaa namba 8 hivii kho!!!!
Si unaziona ila akili zako
Khaa ndiyo nini kunichekesha hivi mtoto wa mwanamke mwenzio? Nimeanza huo mstari wa kwanza tu nimecheka kwa nguvu sasa hadi namaliza comment yote ikabidi niweke kwanza simu pembeni ili nimalize kucheka!
Eti Morogoro ni kubwa kuliko Tanzania daah kiukweli naungana na wale waliosema huo mkoa ugawanywe jamani. Kwa kweli huo utalii wa ndani nimeupenda yaani kama nakuona vile ulikuwa unaserereka na kibegi.
Mngekuwa maeneo ya mjini mjini halafu watu wangeona hilo tukio haki mngeshikwa uchawi maana wabongo hatuchelewi! Mie hizi safari ndefu za siku kadhaa ndiyo nazipenda ila tu huo usafiri uwe na kila kitu ndani mfano sehemu za kula na kulala ila siyo ule usafiri ambao utakulazimu kushuka kwenda kula au kulala na ndiyo maana mie napenda sana treni!
Hahaha nilimaanisha mwenye picha ndiye alinielewa tukayamaliza yule aliyesambaza kwa kweli sijawahi kumtafuta wala kumuuliza chochote hadi leo nimeona nimsamehe na nijikalie tu kimya! Ila kiukweli kupatana ni jambo jema sana mwenyewe huwa sipendi malumbano na nikiona naelekea kugombana na mtu basi ni either nitajishusha au nitakaa kimya tu ili tusifikie kwenye ugomvi!