Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni ndefu utafikiri Treni ya TAZARA.
Waaahii ilinishinda..halafu kuna siku nilikwenda mlimba nikakukumbuka sana

Aiseh ni kweli kabisa ninamkubali mno na anajua ninamkubali sana.akianza kutoa ushauri kwa kuandika gazeti navuta kiti na mahindi naanza kuchoma..ananondo sana.hana tofauti sana na Heaven Sent katika uandishi

Au ile treni ya Gerezani - Pugu

Haha namiss sana safari za treni aisee! Mbona haukututumia hata kapicha sasa jamani?

Wana nondo sana though mimi namkubali HS zaidi atleast ndiye ambaye naweza taniana naye humu ila Mtende namuona yuko serious sana and so far mimi na yeye hatujawahi interact humu! Huwa naona mnainteract mara kadhaa na inaonekana you guys mmeclick vipi unafahamiana naye nje ya JF?
 
kama hayaudhi tunaishi nayo tu Tutafanyaje sasa


Wanasemaga eti majibu kama hayo japokuwa yanafurahisha mtu anajikuta anacheka lakini yanaudhi! Nayafananisha kidogo na majibu ya Khantwe huwa ana majibu fulani hivi ya kukera na hapo hapo yanachekesha!

Ndiyo maana watu wengi sana humu wanamkubali na wanamuona kama comedian! In short watu wenye majibu kama hayo yenu huwa wanakubalika sana humu JF na mimi nikiwa mmoja wa wanaowakubali!
 
Mate yamenijaa mdomoni nasikia kutapika hakyamama tenakwani wewe ni kabila gani agrrrrr

Don baba huyo ni nyoka au macho yangu kwahiyo nae pia ni msosi wako
Nami nimeshangaa sana! Haya magonjwa ya mlipuko yanasababishwaga na mambo kama haya haya ya watu kutaka kula kila kitu sijui popo sijui nyoka sijui kenge wooiii!
 

Au ile treni ya Gerezani - Pugu

Haha namiss sana safari za treni aisee! Mbona haukututumia hata kapicha sasa jamani?

Wana nondo sana though mimi namkubali HS zaidi atleast ndiye ambaye naweza taniana naye humu ila Mtende namuona yuko serious sana and so far mimi na yeye hatujawahi interact humu! Huwa naona mnainteract mara kadhaa na inaonekana you guys mmeclick vipi unafahamiana naye nje ya JF?
😁😁😁😁
Sikupanda treni nisafiri na bus kwenda na kurud..ingawa changamoto ya barabar ilikuwa ni kubwa kwa sababu ya Mvua kunyesha.hapo tulikwama karibu saa zima.next time nikienda itabidi nipande tren niende nikashinde bar kabisa😁😁
E49B5B12-4262-4DA5-8F74-D5422BE1372F.png


Nawakubali sana mtende na heaven sent..ila HS sijawahi kumwambia kwakuwa hatujakuwa na muingiliano wa karibu.wakianza kutoa ushauri natafuta kiti kikowapi naanza kuchoma na mahindi kabisa...maana najua naenda kusoma nyundo za maana.yap mimi na mtende tunainteract..nje ya hapa hapana lakini naimani kuna siku nitakuja kufahamiana nae.kikubwa uzima.mtende na HS ni watu wanaonibariki mno na ndio watu ninaotamani kuonana nao nje ya JF. Mtende na Heaven Sent ninawakubali na kuwapenda sana
 
Back
Top Bottom