Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Mchumba umechanganya!Sasahivi wako busy kumtupia lawama.
Kila kitu yeye
Moyo wangu unaugua mno.
Ngoja tuwaache wajuvi wafanye mambo .
Hivi kwani hawawezi fanya tu bila kumsimanga?
Mchumba umechanganya!Sasahivi wako busy kumtupia lawama.
Kila kitu yeye
Moyo wangu unaugua mno.
Ngoja tuwaache wajuvi wafanye mambo .
Hivi kwani hawawezi fanya tu bila kumsimanga?
Sijachanganya babeMchumba umechanganya!
MnoKuna persons baadhi wanavyo mdhihaki mwendazake, hadi napatwa na ganzi kabisa mwilini, siamini km ni wao yaan,
Kweli wanadamu ni wanafiki na hawana jema.
Mbona umeweka ukungu hatukuoni vizuri jamaniHustler's AmbitionView attachment 1747876
PoleMimi sijaiona vizuri
Kumbe unasubiri tu uchumba uvunjike ili uhame
Nawachelewesha???
Subiri anniversary ipite.





Hahaaaaa! alinipa na nibonge la handsome alafu kauzu flan hv amazingSasa unamuachaje bro jamani
Vipi picha yake hajakupa?
Tumuone![]()
anapenda jokes pia, 


AhaaaaKumbe unasubiri tu uchumba uvunjike ili uhame
Nawachelewesha???
Subiri anniversary ipite.


Crush to Baby![]()

Ndio hivyo tena

Mi sijaiona nitumie inbox mrembonimefuta tayari si umeniona sasa crush??
Ndinga umeacha wapi?Hustler's AmbitionView attachment 1747876
Tena sana.



hiki nn babu? Wanapelekwa jandoni na msondoni au?Haya mambo magumu sana.