Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210410_164042.jpg
 
Eti Chakorya...mimi sikuimalizia waaahiii ilikuwa ni ndefu.

Kumbe na wewe ulishaniulizaga ee ok... nakumbuka pia Mtende alishawahi kuniuliza kuhusiana na jina hapo hapo nikapata na nafasi ya kummwagia sifa zake maana nilikuwa namkubali sana na sikujua nitaanzia wapi kummiminia sifa zake
Yeah mwenyewe nilishindwa kuimalizia ilifika kipindi nilikosa muda wa kuiangalia. Nikasema mbona hawaimalizi mwisho wa siku nikaona acha waendelee tu mi niishie hapa.

Yeah mimi nilikuuliza huku huku selfika. Hiyo system naielewa sana mama unakuta mtu unamkubali humu ila unashindwa uanze vipi kumuambia sasa siku akijichanganya akakuquote tu unaona yes hapa hapa nitoe ya moyoni.
 
Back
Top Bottom