Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekombolewa na Yesu
Aliyenirehemia
Kwa bei ya mauti Yake
Nimekuwa Mtoto wake

Kombolewa
Nakombolewa kwa damu ya Yesu
Kombolewa
Mimi mwana wake kweli.


Kukombolewa nafurahi
Kupita lugha kutamka
Kuliomyesha pendo lake
Nimekuwa Mtoto wake


Najua taji imewekwa
Mbinguni tayari kwangu
Muda kitambo atarudi
Alipo nami niwepo.
Shikamooo saint anne
 
vita penzi nitapiganaaaa
Nikiamini utarudi we changamaaa

maana siko sawa ujueee
Mkuki kwa nguruwee
Kwa binadamu mchunguu

Wanao gombanaaa
Siku zote ndo wanao patanaaa
ama unapenda ninavyo lalamaaa
Sijui nilipo kosa ujueee

Ama lengo uniueee
Me najua we ndo langu gunguuu

Jack Palladino Saint Anne View attachment 1741782
Huku kwenye bongo fleva ndo mnapotea kabisa
Hamnipati...

Akija huku ataharibu kabisa
Bora abaki na za kanisani zilezile.
 
Kale nilitembea
Nikilemewa dhambi
Nilikosa msaada
Kuniponya mateso

Usifiwe msalaba
Lisifiwe kaburi
Linalozidi yote
Asifiwe mwokozi


Panapo msalaba
Kinatolewa cheti
Cha kuingia Mbinguni
Kisicho Cha kabisa


Yule bwana mjinga
Likwenda bila cheti
Kitumai kuingia
Kama walionavyo

Jitahidi uingie
Damuni mwa mwokozi
Utafutiwa dhambi.....
 
Mumebaki wawili myajenge tafdhali me nalala zangu

Mwanamke siku zote usikubali kulala na ugomvi ikiwa unauwezo wa kuumaliza namkala kwa amani

kwa wana ndoa kulala na hasira kila mmoja mnalala mumetegeama migogo aistaili kitandan sio sehem ya kuchuniana

Saint Anne ugomvi uishia seblen sio ufike chumban
Wala hakuna ugomviwizo wangu.

Kiroho Safi Jack brother wangu nimemgawa kwako
Kwani sh ngapibarida tuhuu wimbo nimekumbuka tulilazimishwa kuimba tulivyomaliza Ue yetu ya mwisho.
 
Mumebaki wawili myajenge tafdhali me nalala zangu

Mwanamke siku zote usikubali kulala na ugomvi ikiwa unauwezo wa kuumaliza namkala kwa amani

kwa wana ndoa kulala na hasira kila mmoja mnalala mumetegeama migogo aistaili kitandan sio sehem ya kuchuniana

Saint Anne ugomvi uishia seblen sio ufike chumban


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Mungu kama wewe
Screenshot_20210403-010427_Shazam.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Mungu ni Pendo
Apenda watu
Mungu ni Pendo
Anapenda

Sikilizeni
Furaha yangu
Mungu ni Pendo
Anipenda

Nalipotea
Katika dhambi
Nikawa mtumwa
Wa shetani

Akaja Yesu
Kuniokoa
Yeye kanipa
Kuwa huru

Sababu hii
Namtumikia
Namsifu yeye
Siku zote
Screenshot_20190507-133538.jpg
 
Back
Top Bottom