Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Unalipiza au siyo??Nisamehe mchumba wangu!..mm niliumia pia kuona una Crush
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Yaani yule angeanza yeye kukwambia,wala tusingefika huku...lakini ulianza wewe kumwambia.
Mimi wapi uliona nimeanza huo mchezo??
Safari njema kaka Palladino

Mimi siwezi beba maumivu kizembe..najiengua tu.




.