Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kaa kimyaSijui nicomment kitu?![]()
Kaa kimyaSijui nicomment kitu?![]()
Kwema brother..Walyekum salaam.
Kwema Mtakatifu
Rahaa niliyoipata mwaka huu hata ukinitukana tusi halitaingia mahala pake!😄😄😄Nataka nikutukane ila naogopa nitamsulubisha Yesu Mara ya 2.
Rahaa niliyoipata mwaka huu hata ukinitukana tusi halitaingia mahala pake!![]()





Usitoke baki kwa ajili yangu crush wangu

HahahhhhaMtumishi mwenzangu Saint Anne baada ya kuachwa stendi mchana kweupe na bro wangu Jack Palladino!!
View attachment 1742125



mnanipa raha sana nyie watu na mb zangu za jero hapa zikikata napamiss humuNdo maan una roho ngumu...uoni ata huruma kumuumiza Jack Palladino kwa kuwa usha zoea kuwaumiza wenzio na sindana




Kamkono kazuri zuri na kadogodogo kama ka mdogo wangu!😍🤗🤗🤗
iih
Tumepanda wote iyo coaster leo. ☺️
Uko vizuri chief.Simba baba lao.View attachment 1742416
Uko vizuri chief.
Ilikuwa inatokea wapi ?Tumepanda wote iyo coaster leo.![]()
Arusha.Ilikuwa inatokea wapi ?
HapanaArusha.
I was jokingHapana