Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Aaaaaaaaaah sio fair bana. Afu mimi nishaziweka zangu nyingi humuLead the way, lady's first.. thats the rule![]()
Aaaaaaaaaah sio fair bana. Afu mimi nishaziweka zangu nyingi humuLead the way, lady's first.. thats the rule![]()
Mimi leo ningeteketeza watu Sana wallahWanaorogaga huwa wanaanza hivi hivi, be carefull![]()






Watufidie vocha zetuKuna good news kwa ajili yako, serikali yasitisha vifurushi vipya vya data uzi umepandishwa huko.





Hakuna namnaWatufidie vocha zetu
Nimeshaunga vifurushi Mara 2 ndani ya dk10
Mimi ni wa kuanza kuunga kifurushi Cha siku?tena Cha kukopa![]()
Naona no1🎶 hapo kwa screen hii nyimbo hawa watoto wameimba aisee😍🤸♂️
Eeh Mungu BabaAaaaaaaaaah sio fair bana. Afu mimi nishaziweka zangu nyingi humu




Me mgeni humuAaaaaaaaaah sio fair bana. Afu mimi nishaziweka zangu nyingi humu



, sio mbaya tukianza moja. By the way picha yangu ya kwanza kwenye huu uzi ilikuwa ya mkono.


Ila bando tu limekufanya utaman kuroga. Next time ukitapeliwa kiwanja unadhan itatokea nini?Mimi leo ningeteketeza watu Sana wallah
Bahati nzuri I'm a born again Christian..very committed.
Siwezi roga wala kujifunza kuroga.
Ila makwazo hayana budi kuja,ila ole wake akwazaye![]()




Wanajisikia raha kujipandishia tuDar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye.
Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa ya Aprili 2, 2021, wamekuwa kwenye mjadala mzito kwani, matarajio ya wengi ilikuwa ni kushuka kwa gharama hizo.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala, amesema matumizi ya bei mpya ya vifurushi yamesitishwa kwa muda.
Hata hivyo, amesema uamuzi huo utahusu vifurushi vya data pekee huku vile vya ujumbe mfupi wa maneno na kupiga zitaendelea kama ilivyotangazwa mapema leo Ijumaa.
“Tumesitisha matumizi ya gharama mpya za vifurushi hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Lakini, hili litahusu vifurushi vya data pekee na vile vya sms na kupiga vitaendelea kama kawaida,” amesema Mwakyanjala alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu dakika chache zilizopita.
Kanuni ndogo za gharama na tozo za vifurushi, utangazaji wa huduma na ofa maalum zilizotungwa na TCRA, zimeanza kutumika leo ambapo, matumaini ya wengi ilikuwa ni bei za vifurushi kupungua lakini ikawa tofauti.







Eeh Mungu Baba
Naomba usikilize wimbo wa Bethel Choir_tutapataje kupona.
Kuna chorus inasema;
"Wamsulubisha Bwana Yesu
Wamsulubisha Mara ya pili"
Wasitulazimishe
Wengine hatupigi simu,hatutumii text za kawaida.
Hivi kwanza ni nani mefanya haya?
Ngoja nikutafutie zile comments zenye pichaMe mgeni humu, sio mbaya tukianza moja. By the way picha yangu ya kwanza kwenye huu uzi ilikuwa ya mkono.
Lead the way beautiful lady![]()
Usipokuwa mwaminifu kwenye vitu vidogo,hata vikubwa pia huwezi.Ila bando tu limekufanya utaman kuroga. Next time ukitapeliwa kiwanja unadhan itatokea nini?![]()

Acha acha acha dhambi zakoKwa matendo yako, unayoyatenda
Kwa matendo yako, unayoyatenda
Achaaaaa
![]()







DahNgoja nikutafutie zile comments zenye picha






Bahati yao![]()
Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi
Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye.www.mwananchi.co.tz
SijampendaWewe si umempenda..umenisaliti Mimi.
Na mimi siwezi kuendelea wallah
kumbe Crush maana yake wanapendana eeh
Mimi kwa hizo bando ningepotea aiseee..Hakuna namna
Lakini kuingia mtandaoni sio lazima.


NdiyoKumbe ni kwa namna hii nitaweka utii.