Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Hata Mimi sishibi aiseeHiki Chakula Mimi sishibi hata, yaaani
Nikitoka hapo naenda shushia na ugali nyumbani.
Hata Mimi sishibi aiseeHiki Chakula Mimi sishibi hata, yaaani
Si ndio hapo sasa. Sahan yenyewe imeacha nafasi wazi mbele 😂😂Hata Mimi sishibi aisee
Nikitoka hapo naenda shushia na ugali nyumbani.
Hatuna namna brotherNi hili wingu tu la msiba limetanda na kuighubika nchi yetu kwa sasa.
Ukute kanunua bei mbaya kweli.Si ndio hapo sasa. Sahan yenyewe imeacha nafasi wazi mbele![]()
Pasaka hii lazima tuwake na sare![]()
Coaster linaanzia huku BusokeloIiiiiiiih lazima, afu tunakodi coaster hadi Daslam kwa Anna Mwakasege.






Coaster linaanzia huku Busokelo
Linakuja Mbeya mjini linabeba watu wa shughuli wote ,hapo ni moja kwa moja Dar kwa binti Tusajigwe![]()
Daah umenitajia Busokelo tayari nimejihisi nipo kwa babu nakula mafufu na makatapela



Matakapela mwee!
Mti wetu mwaka huu unayaozesha yote,sijui mvua imezidi.
Tunabeba na michele ya kwenda kupikia pilau..ni ndofani.
Hivi dada wewe wa Busokelo ehDaah umenitajia Busokelo tayari nimejihisi nipo kwa babu nakula mafufu na makatapela
Hivi dada wewe wa Busokelo eh
Thanks kaka kendrick kapata mchumba ,, nimepata katoto ka kikehahahahahah aisee ataolewa na Kendrick huyu....mpe hongera shemeji karibu ubabani mkuu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Thanks alot mama la mama nina furaha isio na kifaniHongera sana Bill, kabinti kamepishana tarehe/siku moja na kajunior kangu (miaka tofauti). Mungu akawatunzie na kuwakuzia kabinti kenu, kakawe lango la baraka na mafanikio kwa ndugu zake. Akatengwe mbali na kila magonjwa, laana na mikosi. Msikose wala kupungukiwa anything necessary kwa ajili ya malezi ya binti yenu. Akaishi maisha marefu yenye afya, amani, upendo na utajiri.
Mashangazi tunaandaa sherehe, au ngoja tusubiri kafikishe 40.![]()
Hongera na kwako saana hakika watoto wanaleta furaha fulani amaizing yaan iko natural and genuine hapa mda wote nacheka cheka tu kila nikikatazamaHongera sana Bill, kabinti kamepishana tarehe/siku moja na kajunior kangu (miaka tofauti). Mungu akawatunzie na kuwakuzia kabinti kenu, kakawe lango la baraka na mafanikio kwa ndugu zake. Akatengwe mbali na kila magonjwa, laana na mikosi. Msikose wala kupungukiwa anything necessary kwa ajili ya malezi ya binti yenu. Akaishi maisha marefu yenye afya, amani, upendo na utajiri.
Mashangazi tunaandaa sherehe, au ngoja tusubiri kafikishe 40.![]()
@Hawachi..🤔Chat na picha
mara ya kwanza sikulala....Hongera na kwako saana hakika watoto wanaleta furaha fulani amaizing yaan hapa mda wote nacheka cheka tu kila nikikatazama




best experience ever