donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Hahahaha asante da mkubwaNimepita tu kuwasalimu. Hongereni sana![]()

Utajua haujui

HatimayeNiko salama kaka nilikua busy nasubiri ugeni mpya duniani hatimae umewasili

NiliifungaCheck pm
Mpera fyosa fiswigho.......Umpoki gwitu twe bhandu
Ikyisu kyake kinunu,atendekisye umwene
Ikubhaketa bhabheti
Huu naujua nkamu😊
Akhsante🙏
...na mtu ambaye hajui lakini anajua kuwa hajui huyo ni mwanafunzi. Nifundishe !!!Utajua haujui![]()






Tuntufye Kyala GwituMpera fyosa fiswigho.......




Aisee Wanyaki mko wengi humu mitandaoni mpaka inatisha yaani. Halafu wote mnakijua. Yaani hapa naweza kuhesabu Wanyaki 15 chapu chapu. Hongereni sana !!!Tuntufye Kyala Gwitu
Tuntufye Gwa kumwanya
Ughonile nkamu![]()
Hahaha una kaunabii fulani best wangu, limezaliwa toto la kike nalo linaitwa joyceHatimaye
Finally....
.
Leo nilihisi kitu kama hicho.
Cha baridi mpaka kinatoa jashoView attachment 1735214
@financial services
Shukuran...na mtu ambaye hajui lakini anajua kuwa hajui huyo ni mwanafunzi. Nifundishe !!!
...mjinga ni yule ambaye hajui na hajui kuwa hajui....Mimi siko huko
...nimeona na nimeelewa. Hongera zake kamanda Mkwepu![]()

Ng'qng'ona kitambo sanaSiku moja nenda ng'ong'ona kwa wajasi au wajasi wa bondeni
Unakuta chakula kama hicho buku.. Hadi unajiuliza hawa sijui wanapataje faida.
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani patakuwa pameshaboreshwa maana sijawahi fika tena huko tangu 2016Mtaachana tu.......
Mhhh.