Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Pasaka hii lazima tuwake na sareKama naona tutakavyoshona sare zetu jamani![]()




TIBA bossNdiyo boss
Ulikuwa Tiba ama coed?
Ng'ong'ona tulikuwaga tunapaita Ng'oxNdiyo boss
Ulikuwa Tiba ama coed?



Unaruhusiwa kutupa ndoano na wewe utoke na samaki wako...Sasa uzi umekuwa wa mapenzi.(transformation)
Ni wivu tu![]()

Na sisi mtuombeee tuwaletee ka anko hapaHongera sana Bill, kabinti kamepishana tarehe/siku moja na kajunior kangu (miaka tofauti). Mungu akawatunzie na kuwakuzia kabinti kenu, kakawe lango la baraka na mafanikio kwa ndugu zake. Akatengwe mbali na kila magonjwa, laana na mikosi. Msikose wala kupungukiwa anything necessary kwa ajili ya malezi ya binti yenu. Akaishi maisha marefu yenye afya, amani, upendo na utajiri.
Mashangazi tunaandaa sherehe, au ngoja tusubiri kafikishe 40.![]()



kbla ya 2022Hahahaha ila jaman mawifi tu ninaoPasaka hii lazima tuwake na sare![]()


Hahaha!Ng'ong'ona tulikuwaga tunapaita Ng'ox![]()

Karibu tenaTIBA boss

AfadhaliNa sisi mtuombeee tuwaletee ka anko hapakbla ya 2022



Wazee wa ujasini😂Hahaha!
Kumechangamka kichizi..
Mtu anaona bora akae coed kuliko tiba..
Akili za shule hizi![]()
Hapa umetukutaHahahaha ila jaman mawifi tu ninao![]()











Acha kabisaWazee wa ujasini![]()







Asante mkuuKaribu tena![]()
😂😂😂wakurgwa siku hzi wansema wanasoma Udom campus ya Ujasini..Acha kabisa
Chakula Cha wajasi ni noma..nguvu ya buku ipo ujasi![]()
Ww umevua au umevuliwa?Unaruhusiwa kutupa ndoano na wewe utoke na samaki wako...![]()